Recent content by Toddy M

  1. T

    Mrejesho wa kutafuta mchumba

    Guys.. Mm naombe niwe muwazi.. Huyu demu nimechati naye sana ila niligundua hana hadhi yangu.. Yaan Ni ful Tom boy , alafu kanyimwa sura ana sura ngumu balaa, midomo meusi imevimba.. Yan kuna mdau hapo jua ameeleza kuwa wanaume tuna angalia mtu wakuleta home wengine tunamaliziana guest...
  2. T

    Kilimo cha Maharage: Mbinu za kulima, Ushauri na Masoko yake

    Kuna kitu kimoja najaribu kujiuliza nimejaribu kuongea na na watu wa uko sumbawanga na songea wanao lima haya maharage ya njano.. Wao wanasema heka moja hutoa kati ya 5-8gunia, lakini nikachunguza wao wanalimaje nikagundua wao hawafanyi majaruba, kama Kisima avyo twambia yeye hufanya, pia...
  3. T

    Kilimo cha Maharage: Mbinu za kulima, Ushauri na Masoko yake

    Naomba kujua mbegu bora ya haya maharage ya njano inapatikabaje?? Na inaingia kiasi gani kwenye ekari moja??
  4. T

    Mwenye maharage ya njano tuwasiliane tufanye biashara

    Naombeni mkulima wa maharage anipe wazo hivi nikiotesha maharage ya Soya ya kijivu napata gunia ngap kwa eka moja?? Na yale maharage ya njano napata gunia ngap kwa ekari moja??
  5. T

    Nahitaji wataalamu wa ujenzi wa nyumba

    Na mm nimejifunza Kupitia comment zenu
  6. T

    Nahitaji wataalamu wa ujenzi wa nyumba

    Thanks guys
  7. T

    Ujenzi wa nyumba na ukubwawa kiwanja utakaohitajika

    Dah hii kubwa simchezo maana hii ni robo heka maana heka nzima ina 4047sqm Yaan hiyo 1046 sqm unayo isema ana jenga had swimng pool ana packing ya gari 5 na space zinabak nyingi tu
  8. T

    Natafuta soko la Sungura

    Hotels ya kichina ipo kauda road wana agiza ila uwe na uwezo waku supplies 150 kila mwezi.. Ila kila asubuhi uwe unapeleka 5. Nenda kaogee nao
  9. T

    Uhitaji wa mwenza mwanaume

    Nani aliyefanikiwa kumpata huyu bint.. Aje inbox tuzungumze jambo.. Maana kuna jambo muhimu sana kujua abt it..
  10. T

    Kilimo cha Tangawizi - Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Inakaa shambani muda gani tangu kuoteshwa? Bei yake kwa gunia ni bei gani?
  11. T

    Nauza Shamba langu Heka 3, (350,000/= @ 1)

    Nisha uza mkuu .
  12. T

    Nauza Shamba langu Heka 3, (350,000/= @ 1)

    Kama hata ilo nililo andika hapo hujalielewa basi mkuu.. Walisha elewa wajuzi na washalipia no more time For clarification .
  13. T

    Nauza Shamba langu Heka 3, (350,000/= @ 1)

    Wanao jua washa gombani Shamba.. Kama wewe unaona too expensive kwa Shamba lililoko karibu na bara bara ya lami.. Aridhi ambayo ina rutuba na umesha safishiwa Shamba.. Subiria raisi . Kwenye mapori kisha anza procedure zakulipia, wafyekaji 50,000/=, wang'oa visiki 200,000/= .. Alafu bei ya...
Back
Top Bottom