Heka tatu kwa milioni moja na Hamsini elfu ndiyo "too expensive"?Too expensive
Mkuu turn-off dictionary au word prediction kwenye settings ->KeyboardSimu uangu ukimaliza neno inajibadili ukiweka space ili umove ahead lugha inajibadili kulingana na saving of words poij.. So just get concept iliyo kusudiwa.. Achana na obviously things.. Tick to the intended msg..
Yaani hiyo pesa napata heka kama 10 hivi.Heka tatu kwa milioni moja na Hamsini elfu ndiyo "too expensive"?
duh!!!!Yaani hiyo pesa napata heka kama 10 hivi.
Maeneo hayo hayo?Yaani hiyo pesa napata heka kama 10 hivi.
Wanao jua thamani ya shamba awasha chukua.. Wewe endelea kuropoka tu hapaYaani hiyo pesa napata heka kama 10 hivi.
Kama ghali funga msuli muite muuza gahawa na kashata kaa kibarazani unywe .. Subiria raisi itafikaToo expensive
Mheshimiwa hicho kipimo cha hekari unakifahamu vizuri?una maana kuwa shamba lako ni zaidi ya Ekari7 au unamaanisha ni ekari3? Hebu liweke hili clear.Habari zenu wana jamii..
Nina shamba langu la hekari 3, lipo mpakan mwa Pwani na Morogoro.. Ukitoka Msolwa kama unaenda morogoro..
Ni Km3 kutika barabara kuu ya lami iendayo Moro.
Ndio nilikuwa naliandaa kuanza kulima ila ninepata, respond ya Scholarship to Sweden.. Nahitaji hela ya kujazia nauli.. Ndio maana nauza bei ya kutupa.
Bei 350,000/= kwa heka 1 ila nauza zote3 kwa mkupuo ziuzi moja moja.
Ardhi inarutuba haijaguswa 7yrs..
Mazao yote yanakubali, udogongo mzuri
Wasiliana na mm kwa simu
0625962883
Kama hata ilo nililo andika hapo hujalielewa basi mkuu.. Walisha elewa wajuzi na washalipia no more time For clarification .Mheshimiwa hicho kipimo cha hekari unakifahamu vizuri?una maana kuwa shamba lako ni zaidi ya Ekari7 au unamaanisha ni ekari3? Hebu liweke hili clear.
Nisha uza mkuu .Nakuomba PM mkuu
Okay if the business is done then all the best.Kama hata ilo nililo andika hapo hujalielewa basi mkuu.. Walisha elewa wajuzi na washalipia no more time For clarification .
Yes tena aweke Geo tag photos,picha zenye coordinates za GPS,ili twende sawa,kabla hatujawasiliana,na zama wizarani,nacheki kama hiyo sehemu,IPO,na master plan ya Serikali inasemaje kuhusu eneo husikaMpaka shamba tuweke picha?