Hivyo ndivyo ulimwengu wa giza unavyofankiwa kuharibu maisha ya watu wengi kwa kutumia ngono ,watu wameibiwa nyota zao pia, na mengine mengi bila wao kujua,aliyeibiwa hajijui ila huishia kuona amefaidi sana aliyefanya nae ngono
Hivyo ndivyo ulimwengu wa giza unavyofankiwa kuharibu maisha ya watu wengi kwa kutumia ngono ,watu wameibiwa nyota zao pia, na mengine mengi bila wao kujua,aliyeibiwa hajijui ila huishia kuona amefaidi sana aliyefanya nae ngono
Mimi nilipanda mikaratus ( milingoti) na kipindi hicho napanda ilikuwa Haina soko ,watu wengi walikuwa wanapanda miti aina ya pine, nikaamini kuwa mpaka ikomae itakuwa na soko huko nyumbani kwa sabab watu wengi walikuwa wanapanda aina ya pine.saiz nishaanza kupokea simu zinazotaka niuze na Mimi...
Acha kupotosha watu ,katiba yao ambayo ndo sheria mama haijazuia Hilo unalosema, hizo unazosema Ni desturi tu na sio lazima zifuatwe ila katiba ndo lazima ifuatwe, alaf hata Kama Ni kweli katangaza Nia sio sababu ya kumuhukumu et Ni adui ,sio kweli hiyo ndo demokrasia na hicho ndo kipimo Cha...
Duh! Aisee napata shida na thinking capacity yako ,kwaiyo chama tawala kikishindwa uchaguzi kwa haki mkurugenzi atakuwa hajatimiza majukumu yake? Nadhani hapa Sasa tunaanza ushabiki na sio facts . [emoji849][emoji849][emoji849]
Sasa rais wako mpendwa alishasema mkurugenzi atakaye mtangaza mpinzani kashinda uchaguzi atakuwa Hana kazi Tena, huko sio kuharibu amani ya nchi? Je huko sio ubaguzi? Usiangelie Mambo kwa upande mmoja tu angalia na sababu inayofanya uchaguzi usiaminike kuwa huru na haki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.