Recent content by TLAWI AKONAAY

  1. T

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    hii namba 0764461005 ni ya wafanyakazi wa NMB?maana ananiuliza aniulizia kuwa sijafanya uhakiki kwenye akaunti yangu ya NMB. afu mbaya kabisa ananiulizia mara ya mwisho nimetoa hela lini.
  2. T

    Vyama vya wafanyakazi fanyeni jitihada za kuwatetea wafanyakazi?

    inaniumiza sana viongozi tuliowachagua wamekaa kimya wakati serikali ikiwapora watumishi wake penshen wasiostahili.. hivi hakuna hata kukeme au kuilaani kinachoendela hakuna. wote wamekaa kimya. kuna haja gani ya kuwa na vyama vya wafanyakazi tz? unastaafu badala ya kupewa penshen ya 100% badala...
  3. T

    Huu ujumbe usomwe na wanaume tuu

    Nimeyaona mengi..........umenikumbusha mbali sana kwa huu uzi.............yupo mzee mmoja jirani yangu ameachwa na watoto wake, historia yake inasemekana kuwa alikuwa hawatambui watoto wake kipindi alipokuwa na kazi alikuwa anachoma nyama na kula mwenyewe baa na marafiki zake lakini nyumbani...
  4. T

    Barua ya wazi kwako bosi wangu. Na mimi ni mkubwa mwenzako niheshimu

    uongozi ni talanta aliyonayo mtu. kuwa na degree siyo kuwa kiongozi bora hata wapo wazeee ambao hawana hata elimu ya primary wanaongoza vizuri mno kuliko hata sisi wenye degree. so degree isikutishe
  5. T

    Nimuanzeje mama kumuambia nimepata mchumba?

    maisha ya ndoa ni mwendo mrefu so utafika tu
  6. T

    Hukumu Kesi ya Kikatiba ya Jamii Media: Mahakama yakiri Sheria Makosa ya Mitandao inahitaji kanuni

    hongera wana jf kuishinda serikali mahakamani.mungu.aendelee kuwalinda
  7. T

    Wafugaji jamii ya Barbaig walia kubakwa, kuuawa na kuibiwa

    nimeichukia sana hicho kitendo. serikali yetu wanakimbizana na kina lema na lisu lakini vitu hatari kama hivi wameviacha.huu ni udhalilishwaji mkubwa na unapaswa kulaaniwa kwa nguvu zote. wizara husika chukueni hatua kali ili kudhibiti hali hiyo. watu waishi kwa amani siyo kwa mashaka
  8. T

    Nifanyeje kuondoa adha ya kukabwa na wachawi?

    kila unapoenda kulala sali sala hii...... baba yetu x3. salam maria x3 afu weka rozali takatifu chini ya mto unaoulalia siku zote unapoenda kulala.... hutaona katika maisha yako kukabwa tena
  9. T

    Nifanyeje nipate demotion kazini?

    jamani hii hali imeshakuwa ngumu we hadi mkuu wa kituo unaomba demotion?
  10. T

    Fahamu kuhusu bakteria wa H.Pylori; Athari na tiba yake

    jitahidi mkuu usije ukaingia kwenye friji nenda kapime kama huamini hayo matibabu niliyokupa
  11. T

    Nifanyeje nipate demotion kazini?

    nimefurahia sana huo ushauri nipenda sana huo ushauri nimeupenda sana huo ushauri naimani ataufanyia kazi ni rafiki yangu sana.
  12. T

    Fahamu kuhusu bakteria wa H.Pylori; Athari na tiba yake

    meza amoxylline 500mg mara 3 kwa siku kwa muda wa siku 7,flagy 400mg mara tatu kwa siky kwa muda wa siku 7na baadae meza omeprazole 20mara mbili kwa siku kwa wiki 4 hadi sita. utapona.kabisa
  13. T

    NATAFUTA SIMU AINA HALOTEL MOBILE NA YA MEZANI

    nielekezwe mahali duka la halotel ilipo
  14. T

    NATAFUTA SIMU AINA HALOTEL MOBILE NA YA MEZANI

    wana jf. me nipo kilosa natafuta.simu aina halotel kama ilivyo hapo juu.ninaomba nielekzwe inapatikana wapi hapa kilosa na pia bei ake. aksanten[emoji120]
Back
Top Bottom