Nifanyeje nipate demotion kazini?

Nifanyeje nipate demotion kazini?

Hilo ni suala Dogo mkuu, andika barua ya kujivua madaraka tu boc, kama ni Mwl.peleka kwa ngazi zote naamini ombi lako litakubaliwa,haiwezekani MTU akulazimishe madaraka .
Jamani me nafanya kazi kama mkuu wa kituo katika kituo flani cha serikali hapa Tanzania.

Nimefanya kazi kwa weledi mkubwa sana bila kuwa na tatizo hapa kituoni kwangu. Nimejaribu kumwomba mwajiri wangu ambaye ni DED anipumzishe kutoka mkuu wa kituo na kuendelea na majukumu yangu ya fani niliyosomea amekataa pamoja na barua nilizomwandikia.

Jambo hili imefikia hivi bcoz kila wakati tunahudhuria vikao mbalimbali vya serikali bila malipo unaambiwa kuwa utumie fedha za ruzuku, shangaa ruzuku unapewa kila robo ya mwaka ambaye ni sh 46000 tu.

Kwenye hiyo hela kuna matumizi ya ofisi karatasi na kadhalika.... hadi inafikia kutumia mshahara wangu kwa kazi za ofisi sasa kwa jambo hili naomba ushauri wenu nitapataje demotion ili nirudi katika kazi yangu ya kawaida?
Jamani me nafanya kazi kama mkuu wa kituo katika kituo flani cha serikali hapa Tanzania.

Nimefanya kazi kwa weledi mkubwa sana bila kuwa na tatizo hapa kituoni kwangu. Nimejaribu kumwomba mwajiri wangu ambaye ni DED anipumzishe kutoka mkuu wa kituo na kuendelea na majukumu yangu ya fani niliyosomea amekataa pamoja na barua nilizomwandikia.

Jambo hili imefikia hivi bcoz kila wakati tunahudhuria vikao mbalimbali vya serikali bila malipo unaambiwa kuwa utumie fedha za ruzuku, shangaa ruzuku unapewa kila robo ya mwaka ambaye ni sh 46000 tu.

Kwenye hiyo hela kuna matumizi ya ofisi karatasi na kadhalika.... hadi inafikia kutumia mshahara wangu kwa kazi za ofisi sasa kwa jambo hili naomba ushauri wenu nitapataje demotion ili nirudi katika kazi yangu ya kawaida?
 
Hivi mmelogwa au? utafikiri hamjasoma! unatumiaje mshahara wako kwenye shughuli za serikali? Ukiitwa kikao na pesa ya nauli,chakula na malazi hakuna USIENDE tena hata ukipigiwa simu na waziri mwambie hakuna nauli na mimi sina pesa. Jadilini mnitumie muhtasari kwa e mail.

Tumelogwa madam...... nidhamu ya woga tu ndio inatusumbua
 
Jamani me nafanya kazi kama mkuu wa kituo katika kituo flani cha serikali hapa Tanzania.

Nimefanya kazi kwa weledi mkubwa sana bila kuwa na tatizo hapa kituoni kwangu. Nimejaribu kumwomba mwajiri wangu ambaye ni DED anipumzishe kutoka mkuu wa kituo na kuendelea na majukumu yangu ya fani niliyosomea amekataa pamoja na barua nilizomwandikia.

Jambo hili imefikia hivi bcoz kila wakati tunahudhuria vikao mbalimbali vya serikali bila malipo unaambiwa kuwa utumie fedha za ruzuku, shangaa ruzuku unapewa kila robo ya mwaka ambaye ni sh 46000 tu.

Kwenye hiyo hela kuna matumizi ya ofisi karatasi na kadhalika.... hadi inafikia kutumia mshahara wangu kwa kazi za ofisi sasa kwa jambo hili naomba ushauri wenu nitapataje demotion ili nirudi katika kazi yangu ya kawaida?
Mtukanie mama ake huyo bosi wako,kila kitu safi kabisa!
 
Tafuta shule ukasome, hata kama ya muda wa mwaka mmoja na ikibidi kujilipia fanya hivyo, utakuwa umebadili mazingira, baadaye utajua nini ufanye. Demotion sio nzuri kwenye kazi.
 
Kwanini demotion? omba kwenda kusoma hata course fupi ujilipie ukirudi utakuta wameweka mtu mwingine
 
Jamani me nafanya kazi kama mkuu wa kituo katika kituo flani cha serikali hapa Tanzania.

Nimefanya kazi kwa weledi mkubwa sana bila kuwa na tatizo hapa kituoni kwangu. Nimejaribu kumwomba mwajiri wangu ambaye ni DED anipumzishe kutoka mkuu wa kituo na kuendelea na majukumu yangu ya fani niliyosomea amekataa pamoja na barua nilizomwandikia.

Jambo hili imefikia hivi bcoz kila wakati tunahudhuria vikao mbalimbali vya serikali bila malipo unaambiwa kuwa utumie fedha za ruzuku, shangaa ruzuku unapewa kila robo ya mwaka ambaye ni sh 46000 tu.

Kwenye hiyo hela kuna matumizi ya ofisi karatasi na kadhalika.... hadi inafikia kutumia mshahara wangu kwa kazi za ofisi sasa kwa jambo hili naomba ushauri wenu nitapataje demotion ili nirudi katika kazi yangu ya kawaida?
Anzisha vagaranti hapo ofisini wakushushe cheo mkuu
 
andika barua kupitia mkuu wa idara,ded ukieleza tatizo kwenda tamisemi ila jiandae kuhamishwa kituo ambacho unaweza ukaumiakm hujakunjua moyo maana wanaweza sema ukibaki hapo un aweza msumbua ki8ongozi mpya.
 
Tafuta shule ukasome, hata kama ya muda wa mwaka mmoja na ikibidi kujilipia fanya hivyo, utakuwa umebadili mazingira, baadaye utajua nini ufanye. Demotion sio nzuri kwenye kazi.
nimefurahia sana huo ushauri
Kwanini demotion? omba kwenda kusoma hata course fupi ujilipie ukirudi utakuta wameweka mtu mwingine
nipenda sana huo ushauri
andika barua kupitia mkuu wa idara,ded ukieleza tatizo kwenda tamisemi ila jiandae kuhamishwa kituo ambacho unaweza ukaumiakm hujakunjua moyo maana wanaweza sema ukibaki hapo un aweza msumbua ki8ongozi mpya.
nimeupenda sana huo ushauri naimani ataufanyia kazi ni rafiki yangu sana.
 
Mpigie simu Afisa utumishi umwite ofisini kwako akifika tu mwashe Kofi la nguvu uhakikishe anaenda chini hapo lazima wakupe demotion! Lakini hakikisha uko peke yako ili kusiwe na ushahidi. Akipeleka kesi mbele utamshinda maana amekukuta ofisini kwako!
Siyo kila ofisa utumishi ni rahisi kupigika chukulia huyo mwanaume kwenye hii video ndio ofisa utumishi ubavu wa kumpiga unao?

 
Jamani me nafanya kazi kama mkuu wa kituo katika kituo flani cha serikali hapa Tanzania.

Nimefanya kazi kwa weledi mkubwa sana bila kuwa na tatizo hapa kituoni kwangu. Nimejaribu kumwomba mwajiri wangu ambaye ni DED anipumzishe kutoka mkuu wa kituo na kuendelea na majukumu yangu ya fani niliyosomea amekataa pamoja na barua nilizomwandikia.

Jambo hili imefikia hivi bcoz kila wakati tunahudhuria vikao mbalimbali vya serikali bila malipo unaambiwa kuwa utumie fedha za ruzuku, shangaa ruzuku unapewa kila robo ya mwaka ambaye ni sh 46000 tu.

Kwenye hiyo hela kuna matumizi ya ofisi karatasi na kadhalika.... hadi inafikia kutumia mshahara wangu kwa kazi za ofisi sasa kwa jambo hili naomba ushauri wenu nitapataje demotion ili nirudi katika kazi yangu ya kawaida?
Mkuu pole.I can imagine usumbufu na stress unayopata,kwa kuwa Mimi pia nilikuwa mkuu wa kituo cha kazi kama wewe.Mbaya zaidi mkuu wangu wa kazi wa wilaya alitaka kunihamishia vijijini ambako,kwa hesabu za haraka nisingekuwa shughuli za ziada za kuingiza kipato.Pia afya yangu huko ingedorora zaidi kwa kuwa ingenibidi kusafiri umbali mrefu kufata matibabu.

Nilichofanya nilimfata mkuu wa kazi ngazi ya mkoa,nikamweleza jinsi nitakavyoathiriwa na uhamisho kwenda vijijini.Pia nilimuomba aridhie ombi la mimi kuacha madaraka niliyokuwanayo,ili nibaki mtumishi wa kawaida.Lakini pia niliandika barua ya kuomba uhamisho kwenda kwenye kituo kingine hapa hapa mjini.Kipindi kile cha JK uhamisho ulikuwa umawezekana,sijui kwa sasa.
Kuna baadhi ya madaraka unayopewa kama mtumishi yanakuwa chanzo cha stress,na kikwazo kwenye utafutaji.Best wishes.
 
Back
Top Bottom