kwa mwenye kujua, naomba aniwezeshe kujua wauzaji wa Jumla wa vichanganyio vya chakula cha kuku. Mimi ni mfugaji mdogo wa kuku, nataka kununua vichanganyio kama vile Mashudu, Mifupa, chokaa kwa wingi. natumaini nikinunua kwa jumla nitapata unafuu wa gharama.
Mahali nipo Dar
shukrani sana
Baadhi ya wanawake uwa wanalalamika kuwa vyupi vyao vinawakosesha raha kwa kuwabana zile sehemu za maungio ya mapaja. Hivyo Akivaa boxer anakuwa huru na kujisikia vema. KUHUSU KUVALINA ndio mapenzi yenyewe hayo. Saa zingine anaweza vaa shati lako au Tshirt na akawa huru tu.
Hao private wanaotoza 350,000 kwasababu zifuatazo
1. Kulipa mishaara
2. Kuendesha Hospital
3. Kupata faida.
kwanini Serikali inatoza Kiasi cha chini
1. Serikali inatoa huduma
2. Serikali inatoa ruzuku kila mwezi.
3. Serikali inajenga na kufanya miradi ya maendeleo hapo Hospitalini
4...
Nataka vifaa vidogovidogo kama Empty CD, DVD External drive, Flash disk, wino wa photocopy. Kwa vifaa hivi nafikiri naweza nunua alibaba zen nikasafirisha kwa DHL. Mtaji ni Tsh 1M
kila Mwenye maarifaakifanya kama unavyo fanya ww basi Thread hii isingekuwepo na wala hatutofika.
hapa tupo kujengeana uwezo na kupeana Maarifa.
Kuna ubaya gani kama uki itaja hiyo dawa au ukaelekeza namna inavyo tengenezwa? Badilika Kiongozi
Wataalamu, Ninafuga kuku wa kienyeji. Mara baada ya kuku kutotolewa huwa nawachukua na kuwaifadhi tofauti na Mama yao. Mazingira ninayo ishi hakuna Umeme.
Naomba kujua ni njia gani bora naweza kuitumia ktk kuwatengezea vifaranga joto nyakati za Usiku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.