hapa unatetea genge lenu au vp! hii parapata na mdomo mrefu unajipendekeza kwa nani, unamshutumu kila wa ukawa, wewe na genge lenu mnautakatifu gani! ni juzi tu jizi lililokomaa ati ni mwenyekiti ktk kamati ya bunge kwa wakati mrefu nchi hii ni ya maigizo lkn siku kweli...
hdio mnavowaaminisha watu hivyooo? kama mlishinda kweli kwa KURA HALALI? kadiri siku zinavosonga mbele hali itajionesha kwa matokeo yake kumbuka dhulma yoyote iok siku itajiweka wazi. kivipi! una masongombingo yatayotokea.
aaa nenda wewe! mmekamatwa na makura feki kila kona ya TZ TENA si kwa kisanduku kwa malori alafu unasema mna kura za kuwa na gep nyie mmelazimisha haya twendeni tuone lkn msijisifie mlikuwa na kura za kushinda na kuhusu znz bora ukae kimya huna unachokijuwa siasa zetu za...
hizo ndio madrasa akili kubwa udr na uprof. unapiga saluti hapo ingawa imetengenezwa kuonekana ni za wajinga. wanaposhindwa na hoja zao ndio huwazushia ugaidi .
ukiambiwa nawe jiambie tume na secretary yake ni ya ccm msimamizi mkuu alikuwa huyo mh makamo wa pili walikoroga daftari kama tulivyona kwa kujaza watu waliokuwa siwo wakakatalia wengi walikuwa na uhalali wakupiga kura wakajaza mpk marehem haikutosha wakakoroga majimbo pia bado...
ndio maprofesa wa aina hio wapo wengi kwa kazi hiyo kwani sasa utasikia kila mmoja ni profesa ni dr. lkn nchi ina nini zaidi ya madeni juu ya rasilmali zote ilizokuwa nazo bora sisi tunaojituma kuvuta matoroli na maguta tunazalisha kuliko hao wenye majina ya taaluma kumbe hawana lolote...
kama unavosema chadema kukaa na fisadi letu yaani moja laana kubwa sasa nyinyi nyote ni mafisadi watupu waliouza migodi wanaouza nyara wanaouza cocain walochota epa escrow meremeta tan gold radar helicopters ndege ya rais bomba la ges. vp apo laana yenu ni kiasi gani
miongozo yote yakiroho inasema usidhulumu na usikubali kudhulumiwa lkn hata hatuna habari kabisa tunaona kama ni nyimbo tu wengine wanajiona ndio usmart kunyan'ganya ikiwa kwa akili au kwa nguvu lkn amini malipo yake yanapokuja hayakwambii ulifanya nini ila unabaki kupiga mayowe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.