Ushauri wangu kwa Mzee Samuel Sitta

Ushauri wangu kwa Mzee Samuel Sitta

Bunge la 12 samweli sita hatoliweza, na kwa vile ccm watapeleka jina hilo na kuambiwa wamchague, nashauri na chadema wampendekeze james lemebeli akapambane na sita. Hii itakuwa hatua nzuri ya kulitabiri bunge lijalo...

Hiv lembeli ni mbunge??
 
Awali ya yote niseme watu wanaothubutu kuitibua JF ili isiwe hewani, ni wa kulaaniwa.
Nchi inayoamini katika uhuru wa habari haiwezi kuwavumilia watu wa aina hiyo.
Pili, leo kwenye magazeti mengi, Mzee Samuel Sitta, ametamba kweli kweli. Anautaka u-Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mzee Sitta, anajijengea umaarufu mkubwa wakati wa uongozi wake wa Bunge mwaka 2005-2010. Kipindi kilichofuata alipambana na sifa ngumu ya ama kubadili jinsi ili awe na sifa ya kuwania tena u-Spika, au aendelee na jinsi yake na kwa hiyo aukose u-Spika. Akaukosa.
Akaingia kwenye Bunge la Katiba kama Mwenyekiti (Spika). Huko akafanya madudu kadri alivyoweza.
Alichuma aibu kubwa kwa kufinyanga mapendekezo murua yaliyokuwa kwenye Tume ya Jaji Warioba. Baada ya hapo akawa hana amani. Akawa mtu wa kushambuliwa kwa maneno makali.
Serikali ya Awamu ya Tano ndiyo hiyo imeshabisha hodi. Sitta, ameibuka kwa kasi ya aina yake akiutaka u-Spika. Licha ya umri wake kumtupa mkono, bado anaamini ni yeye mwenye uwezo wa kulimudu hili Bunge jipya.
Sijui kitu gani kimemvuta (ulevi wa madaraka?), labda anataka "kufukia mashimo" aliyosababisha kwenye Bunge Maalum la Katiba.
Ushauri wangu: Sitta aachane na madaraka haya anayotaka. Atachuma aibu kama wazee wenzake-Piusu Msekwa, John Malecela, na juzi tu; Mzee Steven Wasira.
Mabadiliko wanayotaka Watanzania hayawezi kuletwa na watu wa aina ya Mzee Sitta. Tangu Awamu ya Kwanza hadi Awamu ya Tano awe kiongozi tu-haiwezekani. Kibaiolojia, umri mkubwa unapunguza na hata kuondoa uwezo wa nguvu kimwili na kiakili. Watanzania hawawezi kuyapata mabadiliko wanayoyataka kama wataendelea kuongozwa na mashine zile zile za tangu Uhuru.
Kama Mzee Sitta, anapita humu Jukwaani, apokee ushauri wangu. Kama hapiti, basi afikishiwe ujumbe huu. Ameshakuwa Agazo la Kale, na sasa Watanzania wanataka Agano Jipya! Wanaomtakia heshima njema aliyobaki nayo kazi alizolifanyia Taifa watamwambia: "Mzee pumzika, usimalizie heshima kidogo iliyobaki baada ya kuvurunda kwenye Bunge la Katiba".

Nawasilisha.
Hapa Manyerere nakuunga kwa asilimia 1000 haiwezekani kuanzia enzi za Mwl Nyerere iwe yeye tu atapumzika lini?na jambo gani jipya atalifanya kwa sasa,kwa kuongezea naongeza ile listi ya wazee waliopata aibu kwa kung'ang'ania madaraka alikuwepo marehemu Makweta,kwa hili lazima tuseme na tupaze sauti kusema NO kwa Sitta hatufai tena,na hatujasahau alichokifanya bunge la Katiba,yeye ndie alifanya UKAWA inayoitesa CCM izaliwe ,usingekuwa uimla wake tusingekuwa na kitu kinaitwa UKAWA,kama mwenzake alisema ataenda kuchunga ng'ombe akishindwa naye sasa ni wakati wa kwenda''kurina asali''kha haiwezekani toka nazaliwa nasikia Sitta ,Sitta na sasa ninawajukuu bado tena Sitta
 
Jina la Spika wa Bunge la 11 lipo kwenye Mfuko wa Koti la Jakaya kama ilivyokuwa kwa Rias wa tano kama tulivyoambiwa na Mzee Kingunge.

Samwel Sitta alitumika bila kujua Kumsambaratisha Edward Lowassa 2007 kwa Kuanzisha Mjadala wa Richmond, Edward Lowassa nae akatumiwa kulipa kisasi kumsambaratisha Samwel Sitta kwa kumtumia Mzee Makamba kutumia busara za kuweka kigezo cha Jinsia kwenye nafasi hiyo kubwa 2010.

Baada ya kufanikiwa kusambaratisha Marafiki zake wakubwa sana kwenye serikali yake sasa kazi iliyopo ikawa ni kuhakikisha hawatakuwa sehemu ya serikal ijayo kazi imemalizika kwa Lowassa sasa inageukia kwa Sitta.

JK ni Zaid ya Mwanasiasa hutumia wanasiasa kumalizana bila ya wao kujijua.Ilianza Sitta vs CCM akakoswa koswa kuporwa kadi ya ccm 2010, Lowassa VS Sitta 2007-2010, Chadema vs Lowassa 2007-July 2015 , Lowassa vs CCM July 2015-to date.
 
Awali ya yote niseme watu wanaothubutu kuitibua JF ili isiwe hewani, ni wa kulaaniwa.
Nchi inayoamini katika uhuru wa habari haiwezi kuwavumilia watu wa aina hiyo.
Pili, leo kwenye magazeti mengi, Mzee Samuel Sitta, ametamba kweli kweli. Anautaka u-Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mzee Sitta, anajijengea umaarufu mkubwa wakati wa uongozi wake wa Bunge mwaka 2005-2010. Kipindi kilichofuata alipambana na sifa ngumu ya ama kubadili jinsi ili awe na sifa ya kuwania tena u-Spika, au aendelee na jinsi yake na kwa hiyo aukose u-Spika. Akaukosa.
Akaingia kwenye Bunge la Katiba kama Mwenyekiti (Spika). Huko akafanya madudu kadri alivyoweza.
Alichuma aibu kubwa kwa kufinyanga mapendekezo murua yaliyokuwa kwenye Tume ya Jaji Warioba. Baada ya hapo akawa hana amani. Akawa mtu wa kushambuliwa kwa maneno makali.
Serikali ya Awamu ya Tano ndiyo hiyo imeshabisha hodi. Sitta, ameibuka kwa kasi ya aina yake akiutaka u-Spika. Licha ya umri wake kumtupa mkono, bado anaamini ni yeye mwenye uwezo wa kulimudu hili Bunge jipya.
Sijui kitu gani kimemvuta (ulevi wa madaraka?), labda anataka "kufukia mashimo" aliyosababisha kwenye Bunge Maalum la Katiba.
Ushauri wangu: Sitta aachane na madaraka haya anayotaka. Atachuma aibu kama wazee wenzake-Piusu Msekwa, John Malecela, na juzi tu; Mzee Steven Wasira.
Mabadiliko wanayotaka Watanzania hayawezi kuletwa na watu wa aina ya Mzee Sitta. Tangu Awamu ya Kwanza hadi Awamu ya Tano awe kiongozi tu-haiwezekani. Kibaiolojia, umri mkubwa unapunguza na hata kuondoa uwezo wa nguvu kimwili na kiakili. Watanzania hawawezi kuyapata mabadiliko wanayoyataka kama wataendelea kuongozwa na mashine zile zile za tangu Uhuru.
Kama Mzee Sitta, anapita humu Jukwaani, apokee ushauri wangu. Kama hapiti, basi afikishiwe ujumbe huu. Ameshakuwa Agazo la Kale, na sasa Watanzania wanataka Agano Jipya! Wanaomtakia heshima njema aliyobaki nayo kazi alizolifanyia Taifa watamwambia: "Mzee pumzika, usimalizie heshima kidogo iliyobaki baada ya kuvurunda kwenye Bunge la Katiba".

Nawasilisha.

Kuna kipindi huwa mnakengeuka sana na leo mmeanza kusomeka vizuri. Kwani Lowassa aliyeutaka urais mkamshadadia umri wake ni mdogo kiasi gani? Na kwanini unafikiri Six ana ulevi wa madaraka wakati kwa Lowassa haikusemwa ni mlevi wa madaraka, kwani kati yao nani kijana wa leo? kama mliamini Lowassa angeweza kuleta mabadiliko katika umri ule kwanini Six asiweze wakati wote ni kizazi kimoja?
 
Sitta ndo mchawa wetu Tz.,yeye ndo kaifinyanga katiba ya wananchi ya mh Jaji Warioba kwa kuwafurahisha walomtuma,leo achukue uSpika!! Magufuli atumie rungu la kiti chake kumpiga ban,maana atamharibia. Hana mana hata kidogo mzee huyu.
 
Sita ni kituko / Kinyago cha demokrasia. Yeye na samia Kwamepindisha katiba wakati wa bunge la katiba.
Wewe Mzee ebu ona aibu. mara hii Watanzania watakuchapa kama alivyokuchapa Mwalimu!
 
Bunge la 12 samweli sita hatoliweza, na kwa vile ccm watapeleka jina hilo na kuambiwa wamchague, nashauri na chadema wampendekeze james lemebeli akapambane na sita. Hii itakuwa hatua nzuri ya kulitabiri bunge lijalo...
Sasa lembeli hata kwao wamemkataa nani atampa uspika,halafu kumbuka kura za ukawa ni ndogo bungeni bado wataendelea kuisoma namba
 
Awali ya yote niseme watu wanaothubutu kuitibua JF ili isiwe hewani, ni wa kulaaniwa.
Nchi inayoamini katika uhuru wa habari haiwezi kuwavumilia watu wa aina hiyo.
Pili, leo kwenye magazeti mengi, Mzee Samuel Sitta, ametamba kweli kweli. Anautaka u-Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mzee Sitta, anajijengea umaarufu mkubwa wakati wa uongozi wake wa Bunge mwaka 2005-2010. Kipindi kilichofuata alipambana na sifa ngumu ya ama kubadili jinsi ili awe na sifa ya kuwania tena u-Spika, au aendelee na jinsi yake na kwa hiyo aukose u-Spika. Akaukosa.
Akaingia kwenye Bunge la Katiba kama Mwenyekiti (Spika). Huko akafanya madudu kadri alivyoweza.
Alichuma aibu kubwa kwa kufinyanga mapendekezo murua yaliyokuwa kwenye Tume ya Jaji Warioba. Baada ya hapo akawa hana amani. Akawa mtu wa kushambuliwa kwa maneno makali.
Serikali ya Awamu ya Tano ndiyo hiyo imeshabisha hodi. Sitta, ameibuka kwa kasi ya aina yake akiutaka u-Spika. Licha ya umri wake kumtupa mkono, bado anaamini ni yeye mwenye uwezo wa kulimudu hili Bunge jipya.
Sijui kitu gani kimemvuta (ulevi wa madaraka?), labda anataka "kufukia mashimo" aliyosababisha kwenye Bunge Maalum la Katiba.
Ushauri wangu: Sitta aachane na madaraka haya anayotaka. Atachuma aibu kama wazee wenzake-Piusu Msekwa, John Malecela, na juzi tu; Mzee Steven Wasira.
Mabadiliko wanayotaka Watanzania hayawezi kuletwa na watu wa aina ya Mzee Sitta. Tangu Awamu ya Kwanza hadi Awamu ya Tano awe kiongozi tu-haiwezekani. Kibaiolojia, umri mkubwa unapunguza na hata kuondoa uwezo wa nguvu kimwili na kiakili. Watanzania hawawezi kuyapata mabadiliko wanayoyataka kama wataendelea kuongozwa na mashine zile zile za tangu Uhuru.
Kama Mzee Sitta, anapita humu Jukwaani, apokee ushauri wangu. Kama hapiti, basi afikishiwe ujumbe huu. Ameshakuwa Agazo la Kale, na sasa Watanzania wanataka Agano Jipya! Wanaomtakia heshima njema aliyobaki nayo kazi alizolifanyia Taifa watamwambia: "Mzee pumzika, usimalizie heshima kidogo iliyobaki baada ya kuvurunda kwenye Bunge la Katiba".

Nawasilisha.


huyu atafia kwenye kiti kwani lengo lake na kundi lake halijatimia
 
kama Sitta atagombea basi hakuna wa kumzuia , wabunge wengi wanampenda sana Sitta kwa sababu anawajali sana wabunge

Huo ndio ukweli mchungu,ingawa binafsi simpendi lakini lazima tukubali kuwa wapiga kura ni wabunge ambao anawajali kimaslahi
 
Kuna kipindi huwa mnakengeuka sana na leo mmeanza kusomeka vizuri. Kwani Lowassa aliyeutaka urais mkamshadadia umri wake ni mdogo kiasi gani? Na kwanini unafikiri Six ana ulevi wa madaraka wakati kwa Lowassa haikusemwa ni mlevi wa madaraka, kwani kati yao nani kijana wa leo? kama mliamini Lowassa angeweza kuleta mabadiliko katika umri ule kwanini Six asiweze wakati wote ni kizazi kimoja?
Wewe unajua umri wa Sitta wewe?Sita ana miaka 76 wakati Lowassa ana 62
 
Eti watu kama kina Sita hawawezi kuleta mabadiliko???
Vipi hao akina Lowasa, Sumaye na Kingunge hujawaona????
Acheni double standard nyie wenye fikra mfu!!!!
 
Back
Top Bottom