Naona kuna double standard. Wabunge walijipunguza idadi ndani ya mjengo. Lakini sokoni kariakoo hali ni ile ile tuchape kazi. Kwani coronavirus inawafuata wakubwa na kuwaachia walalahoi masokoni na ndani ya madaladala?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungefurahi mtu akazini na dadako ama mamako (iwapo ni mjane)? Kwa sababu tu wamekubaliana kufanya hilo tendo. Huo ni uchafu. Na kutakuwa hakuna tofauti kati ya binadamu na mnyama.
Kitambulisho cha jambazi ndio silaha na wala sio kitambulisho cha askari. Askari wamefunzwa na wana nidhamu. Utamtoleaje silaha mtu asiekuwa na silaha yeyote.
Mheshimiwa Rais Magufuli alikuwa na shughuli nyingi. Baada ya ziara ya Lindi na Mtwara alirudi Dar na siku ya pili kuunganisha Morogoro kulee jeshini. Alipomaliza shuguli ya Morogoro akaelekea Dodoma ambapo siku ya pili yake alifanya kikao na mawaziri wake. Baada ya shughuli za kiserikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.