Recent content by Timerlane

  1. T

    Nimekukumbuka Polepole: You made a terrible mistake!

    Kuna la kujifunza Hapa...
  2. T

    Je, tunawalea watoto wetu kwenye mazingira salama kupita kiasi mpaka miili yao imesahau namna ya kupambana?

    Huku tunapokwenda inabidi watu wazidi kutafuta pesa, miaka hii na inayokuja ni vipindi vibaya Sana Kwa maskini, zamani tulikuwa na mashamba, mifugo nk tulikuwa tunakula vitu vya shamba vizuri, physically fit na afya ilitengamaa vizuri, kama ni mwanaume basi kidume kweli kweli...Sasa Kipindi hiki...
  3. T

    Usanifu uliovumbuliwa kwa bahati mbaya: Mapango ya Longyou

    Kumbuka dunia hufa na kuzaliwa upya(rebirth), dunia ilikufa na kuzaliwa upya si mara moja Bali mara nyingi. Hata Sisi mambo yetu na vitu vyetu vitaondoka, watakuja wengine ambao wataanza upya nao watashangaa tulivyojenga na kuacha alama. Kitu watu wasichokijua ni kwamba Kila wakati ambapo...
  4. T

    NHC waombeni msamaha Watanzania walio wengi kwa kuwadanganya

    Usiyaamini Sana maneno ya viongozi wa bongo, ukisikia kiongozi bongo anasema "Itakuwa hivi sijui vile" basi kaa mguu nje na mmoja ndani...Kwa bei hizo ni mafisadi, wazee wa shortcut, matajiri wawili watatu, foreigners ndo wanaweza kuchukua hizo.
  5. T

    Mtanzania anasema alipata $35,000 kuingia jeshi la Russia na analipwa $3,000 kila mwezi. Kwa gharama gani lakini?

    Kila mtu na maisha Yake pamoja na hesabu zake...Kama ndo njia ya kutokea akomae nayo Tu, wengine hawana pa kushika.
  6. T

    Sipati 5G ya Halotel kwenye Simu yangu kwenu ikoje?

    Utoto Sana hao Jamaa, mm situmii laini zao tena wapuuzi hao, haiwezekani nitoe pesa halafu manyoya, hivi kweli time hii ni muda wa kuambiwa can't load kweli?
  7. T

    Swali gani unachukia kuulizwa?

    Maswali personal hayafai kumuuliza mtu mtaani, wala si ndugu tena mmekutana Tu mtaani kwenye harakati za Hapa na pale hata kazi zenu haziingiliana unaanza kuuliza vitu binafsi, huu si utaratibu mzuri na ndo uchawi unaanza Hapa.
  8. T

    Wataalamu wa spiritual life sogelea hapa

    Imani na Psychology hizo.
  9. T

    Kwanini Mwalimu Nyerere alifukuza Israel mwaka 1973? Aliona nini?

    Ndio uhalisia mkuu, Jew ambaye ameshikilia uchumi wa dunia huona Sisi wengine ni pawns kama tupo duniani kuwatumikia wao, hutuita goyi, Yule pedophile Epstein na wenzake wametufumbua macho.
  10. T

    Kwanini Mwalimu Nyerere alifukuza Israel mwaka 1973? Aliona nini?

    Magaidi na Zionists akili zao zinaendana lakini Zionist Yuko mbele ya gaidi maana huiba Hadi mataulo ya hotelini wakiamini gaidi akija atayaiba yy Kwanza hivyo wanawawahi Hadi kwenye mataulo na sabuni za hotelini, roho mbaya Hadi vitu vidogo hahahh
  11. T

    Kwanini Mwalimu Nyerere alifukuza Israel mwaka 1973? Aliona nini?

    Hawa Magaidi na Zionists si watu kabisa, hawa Wana vita Yao na wanawezana wenyewe.
  12. T

    Kwanini Mwalimu Nyerere alifukuza Israel mwaka 1973? Aliona nini?

    Kuua watoto zaidi ya 40,000 Kwa gharama ya magaidi si mchezo, inahitaji moyo wa chuma na kujikana nafsi kweli kweli... Mafundisho ya kiyahudi husema kuwa yoyote asiye Jew ni sawa na mnyama, ukiua goyi(asiye Jew) ni sawa umeua mnyama. Lawama ziende Kwa Magaidi na Zionists.
  13. T

    PostGE2025 Waziri Kombo: Viongozi wa Afrika wamempongeza Rais Samia kwa ushindi mnono wa Oktoba 29, 2025

    Unaupimaje huo udogo?, Kwanza huo udogo maana Yake nini?, kwanini tujifananishe na wengine kwenye vurugu na vifo badala ya kujifananisha kimaendeleo?.
  14. T

    Matapeli wamevamia JF wafanyabiashara wezangu humu tuchukue tahadhari!!

    Duuh pole Sana, umakini ni muhimu Sana...wafanyabiashara Kila sehemu wanajaribu kutuibia.
Back
Top Bottom