Wanajamvi naomba kujuzwa bando ya internent ya voda bila kikomo(10,000 siku 7) unaweza kusurf na kudownload movie upendavyo au wana limitation/ maana nyinge.sababu haya makampuni ya simu mda mwingine hayaeleweki
Wanafunzi wanaofeli shule za kata ni laki kadhaa..na hiki chuo kinadahili wanafunzi wachache tena kuanzia level ya uzamili...JE kuna kuna uhusiano gan kati ya kuwepo kwa hki chuo na kusahihisha makosa ya kukosekana kwa maabara ktk shule za kata?/matokeo mabovu ya shule hzi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.