Hawa maaskari hawa!Basi tu!ama zao!problem wanadhani wao wako juu ya sheria na kujiona kwamba kazi yao ni exeptional!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh OCD,salamu!mimi ni raia mwema ninayeishi Nyarugusu.Nalipongeza jeshi la polisi kwa kazi nzuri mnayoendelea kufanya.
Hapa kituo cha Nyarugusu kuna askari wawili wamekuwa kero kwa muda mrefu.Hawa ni Askari anajulikana kama TRUMP na mwenzie Afande Frank.
Napata mashaka makubwa na weledi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.