Recent content by Tilagana Muganyizi

  1. T

    OCD Geita wachunguze askari polisi hawa wa Kituo cha Nyarugusu

    Hawa maaskari hawa!Basi tu!ama zao!problem wanadhani wao wako juu ya sheria na kujiona kwamba kazi yao ni exeptional! Sent using Jamii Forums mobile app
  2. T

    OCD Geita wachunguze askari polisi hawa wa Kituo cha Nyarugusu

    Mh OCD,salamu!mimi ni raia mwema ninayeishi Nyarugusu.Nalipongeza jeshi la polisi kwa kazi nzuri mnayoendelea kufanya. Hapa kituo cha Nyarugusu kuna askari wawili wamekuwa kero kwa muda mrefu.Hawa ni Askari anajulikana kama TRUMP na mwenzie Afande Frank. Napata mashaka makubwa na weledi wa...
  3. T

    Baada ya Kangi Lugola, nani kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani?

    We unajuaje atatoka? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. T

    Marekani: Mahabusu rapa Suge Knight yameshamkuta kama yako

    Wote waliohusika kumfanyia Kabendera uhuni huu, Mungu awamulike kwa jicho kali, POLE NDG KABENDERA Sent using Jamii Forums mobile app
  5. T

    Hawa wanawake wana ndoa?

    Omba mzigo, piga, sepa
  6. T

    Serikali: Siku za Kigogo wa Twitter zinahesabika na hana siku nyingi

    Lugola mzee wa kiki na kukata mauno,hana jipya huyo
  7. T

    Inawezekana CAG alisema wabunge wa CCM pekee ndio dhaifu ila waupinzani sio dhaifu.....

    Professor Assad ulisimama katika kweli na haki, Mungu akubariki sana, maisha lazima yaendelee
  8. T

    Hatimaye Azam TV waanza kurejesha local channels free

    Chanel zote zenye element ya ufwisiem, tupa kuleeee
  9. T

    Kipi hasa alichokosea Rais hadi kukosa imani nae 2020?

    Hatutaki WATAWALA, tunataka VIONGOZI
Back
Top Bottom