MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,708
- 70,998
- Thread starter
- #21
Nazungumzia aina ya adhabu na mazingira yake yanatekelezeka?, foleni, kasi ya magari, dereva mgonjwa n.k.Dawa ni kutotupa taka ukiwa ndani ya gari.., la sivyo tembea na maji na dekio kabisa, hatutaki ujinga, tumechoka na uchafu.