Recent content by tikilili

  1. tikilili

    Msaada IT mwenye uwezo wa kumtrack mwizi aliyeniibia pesa zangu

    Poleee kaka, ushauri wangu Mkuu tafuta wale jamaa wanaitwa Askari wa Cyber ndio wanaoshughulikia hiki kitengo...
  2. tikilili

    Ni jinsi gani wamiliki wa mitandao wanaweza kukomesha tabia za wezi wa akaunti za watu (instagram)?

    Ndugu habari, Hivi ni nini kifanyike kwa wale wotee wenye tabia ya ku hack account za watu? Unakuta mtu ana acount yake kapambana sana kupata follwers wake lakini li mtu linakuna from nowhere anaimiliki acount yako? Naomba msaada hapa wakuu maana na mm pia ni mhanga wa hili janga acount 3 kwa...
  3. tikilili

    Picha ya Rais: RC Makonda amtaka Msanii Idris Sultan kujisalimisha kituo cha Polisi

    Serikali lazima pia iamue kuweka utaratibu wa kikazi za kiofisi na sio mitandaoni kwa sababu huko kuna account feki nyingi mnoooo......las hivyo.....Mmmmhhh
  4. tikilili

    Picha ya Rais: RC Makonda amtaka Msanii Idris Sultan kujisalimisha kituo cha Polisi

    Nimefel kujua kiukweli maana hata maneno ya Idris ukiyafuatilia hayana ukali wowote wala matusi,wala uchochezi yaaani ilikuwa ni full furaha kum wish Mh Rais siku yake ya kuzaliwa Ila naombeni viongozi wetu msifanye kazi ili kupata sifa kwa Mkuu wa Nchi kumbukeni Uongozi pia una msimu huwezi...
  5. tikilili

    Picha ya Rais: RC Makonda amtaka Msanii Idris Sultan kujisalimisha kituo cha Polisi

    Jamani naomba kufahamu kiundani zaidi alichokifanya mchekeshaji Idris Sultan siku ya kukumbukwa kuzaliwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Magufuli John Pombe Joseph....Maana wamebaki watu midomo wazi na kukosa majibu sahihi kuhusu tukio hili Naomba majibu yenye tija
  6. tikilili

    Msaada na ushauri kisheria

    Kwanza hizo copy ni lazima zifanane kuanzia maandishi mpaka nukta pia kuwepo na sahihi zenu na majina yenu na mlichoandika kiwe kinaeleweka na mwisho kama walikuwepo mashahidi yawepo majina yao na sahihi zao pia kama wapo hivyo tu na ww uwe na uhakika kweli kama ulimuazima hela!
  7. tikilili

    Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

    Mmmmhhhhhh!!! Sent from my itel it1505 using JamiiForums mobile app
  8. tikilili

    Mwanachuo wa MUCE ajiua kwa kinachodhaniwa ni kukosa mkopo wa elimu ya juu

    Jamani mbona sielewi,mara amejiua kwa kukosa mkopo bodi ya mikopo maana hana wazazi.Mara alichukuliwa na wazazi wake baada matibabu aliyopata kutoka chuoni.... Kipi sahihi...ana wazazi au hana wazazi?
  9. tikilili

    Unaanzaje kumvua nguo mke wa mtu?

    Duuuhhhh napita tuuu kwa huku.... Sent from my itel it1505 using JamiiForums mobile app
  10. tikilili

    Rais Magufuli apiga simu tena Clouds 360, awapongeza kwa kazi nzuri

    Anachofanya Mh:John Magufuli ni kupongeza wanaofanya poa na sio kwa sababu ni kituo cha Taifa Sent from my itel it1505 using JamiiForums mobile app
  11. tikilili

    Jipatie kwa bei poa Tecno C8 na Boom J8

    Hhaahaaaaahahaa usije ukanunua sababu hizo ndio sim aiseeee teckno j8 ndio mpango mzima
  12. tikilili

    Msanii Darasa akiwa na Hanscana wapata ajali ya gari huko Kahama

    Pole sana kaka mkubwa...asante Mungu kwa kutoka mzima
  13. tikilili

    Waziri Angellah Kairuki na Katibu Mkuu wamewafukuza kazi waajiriwa wapya 3000 walioajiriwa Juni 2016

    Oooohhhh My God Sent from my Orange Daytona using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom