Sasa makonda mbona amekuwa changamoto.ktk nchi...? Anaingilia mambo ya watumishi yasiyomuhusu,kwan hana mipaka ya kaz yake jaman? Haya mambo ya utumishi ni ya angela kairuki na wenzake..sasa yy povu linamtoka kivipi....? acha hzo makonda, unakera sasa
Haya sasa dawa ya kuondoa tumbo na michirizi kwa wadada na wakaka ipo mjini sasa. Ni dawa ya asili isiyo na madhara kabisa. Utapunguza tumbo ndani ya wiki tatu...tumbo lisipoisha narudisha pesa....
Kwa wanawake wajawazito pia ipo dawa ya kuzuia michirizi kipindi utakapo jifungua..hii ni ya...
Kijan ni shaichana kitambo mkuu..watu wanapotea wakat wa kwenda tu..wakat wa kurud hawapotei tena..i swear to God..ctarudia tena kuistawisha kijan isiyo na matunda
Hv ww umetumwa au vp. Maana sikuelew,watu tupo nyumban mwez wa tano sasa hatujui nn hatma yetu ww unaleta siasa hapa...mm pia ni muumin mzur tu wa rangi ya kijan lkn linapokuja suala hili ni lzm tuwe wakwel. Na imeniathir mm na familia kiujumla sababu nategemewa kwa asilimia 99. Acha kabisa...
Habari zenu wakuu poleni kwa matatizo yaliyotukuta. Mimi binafsi nimepata wazo moja. Kama katibu mkuu amesema hatutambui basi twendeni kwa ktb mkuu kiongozi na tualike na waandishi wa habar...Na kama atatuambia ajira zimefutwa basi iwekwe kimaandishi
Huo ni mtazamo tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.