Wanafunzi unganeni Tanzania nzima mfanye mgomo

Mleta uzi kwa maelezo yako, acha waendelee kukosa tu hiyo mikopo, mpaka watakapojitambua na wewe pia akili zitakaporudi, wanaweza wakapewa mikopo!
 
598797_290355974408717_2103629091_n%25255B1%25255D.jpg

Ningekua naweza kuwapata hao watanzania watatu hapo chini..ningewaleta hapa JF watoe ushuhuda
FREEDOM IS NOT FREE!! Pia sina imani na signature yako!!!
 
Kuandamana na kugoma mtakuwa mmempa sababu ya kuwafukuza vyuo cha msingi ni kusubili tu waangaike na visingizio vyao mwisho vtaisha tu au kutafuta njia nyingne ya kudai haki yenu ni kwenda mahakamani tu lakini kugoma au kuandamana kwanza mtapigwa pili chuo mtafukuzwa

Na pia wanafunzi wa vyuo amna history nzuri na serikali bhasi tu nyny mnaonekanaga kama ni washabiki wa sehemu flani flani hv
 
Nawashauri wadogo zangu wanaotarajia kuingia chuo msisite kuleta mgomo ikiwezekana kuvunja amani ikitokea hamkupewa haki yenu ya mkopo



Msikubali kuwa wanyonge kuona haki yenu haitendeki


Kamwe msirudi nyuma kama mbwai iwe mbwai tu mpaka kieleweke


Inatia uchungu sana kila nikiona thread zenu mkilalamika kuhusu mambo ya mikopo ,msikubali kurudi nyuma lianzisheni na sisi kaka zenu tupo nyuma yenu kuhakikisha mnapata haki yenu

Acheni nidhamu ya uoga wamelikoroga wenyewe lazima walinywe
kijana Ugome kwani umeambiwa kupata mkopo ni lazima?? Unajua sheria za HESLB..??
Na nakuomba uondoe hiyo thread yako..
 
Acha upumbavu kijana... Ugome kwani umeambiwa kupata mkopo ni lazima?? Unajua sheria za HESLB..?? ******** mkubwa wewe..
Na nakuomba uondoe hiyo thread yako..
Mkopo sio lazima lakini ukishakopeshwa lazima sheria mlizojiwekea zifuatwe.
 
Kaandamane ukione
Siwezi kuandamana kwa sababu mimi nishamaliza kitambo kusoma ila nawaonea huruma kila siku thread za mambo ya mikopo mkilalamika kwa hiyo ushauri wangu ndio ukawa huo


Anzeni kugoma na sisi kama kaka zenu tutawatetea
 
Nawashauri wadogo zangu wanaotarajia kuingia chuo msisite kuleta mgomo ikiwezekana kuvunja amani ikitokea hamkupewa haki yenu ya mkopo

Msikubali kuwa wanyonge kuona haki yenu haitendeki
Kamwe msirudi nyuma kama mbwai iwe mbwai tu mpaka kieleweke

Inatia uchungu sana kila nikiona thread zenu mkilalamika kuhusu mambo ya mikopo ,msikubali kurudi nyuma lianzisheni na sisi kaka zenu tupo nyuma yenu kuhakikisha mnapata haki yenu

Acheni nidhamu ya uoga wamelikoroga wenyewe lazima walinywe
Wale wa jkt waanze
 

Similar Discussions

11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom