Kwa US kwa sasa kuna Magenerali wa Nyota Nne kwa idadi ya 45 ambao wapo kazini.
18 wakiwa katika Jeshi - Army
3 Marine Corps
9 wapo Navy,
11 kwenye Jeshi la Anga - Air Force
2 kwenye Space Force
2 kwenye Coast Guard
Kwa Ukubwa wa Jeshi la Marekani na kwa vitengo vyao vinavyofikia 8 ni Wazi...
Wasalaam,
Watanzania wenzangu nakuja mbele yenu kwa ajili ya ombi hili la kumkuwadia (lobbying) kwa ajili ya huyu staff mwenzangu. Walioko mtandaoni ni wale wale walioko huko mtaani.
Sifa za mtafuta mke
1. Miaka 35
2. Anaishi Dar es Salaam - Kigamboni
3. Ni muajiriwa katika Agency mojawapo ya...
Kwenye mtandao ambao tunataka anonymity bado kuna mtu mzima anatafuta ukweli wa mtu kwenye profile [emoji23][emoji23]
You are hopeless kama ni baba au mume wa mtu.
Kuna kaka alinila kimasihara kipindi hicho nasoma MUHAS lakini makazi Upanga kule Mtaa wa Ali Khan.
Siku moja Jumamosi kijana mmoja Classmate alikuja kunitembelea, sasa wakati namsindikiza nikapishana na kaka mmoja kwenye ngazi huyu tulikuwa tunaishi kwenye nyumba moja.
Kama kawaida nikamsalimia...
Kuna watu hapa wamenivutia na mimi ku-share hii stori, kwa kuwa nimepata ruhusa ya aliyenila naona si vibaya ku-share nanyi.
Miaka kadhaa nyuma baada ya kumaliza masomo hapo Chuo cha Afya Muhimbili (Wakati huo kilikuwa chini ya University of Dar es Salaam), nilipata nafasi ya kufanya internship...
Jambo baya zaidi kuhusu njaa sio hofu ya kifo, ni tumbo kuchukua kazi ya ubongo (kufikiri na kufanya maamuzi)
"....Empty stomach is not a good political adviser... "
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.