Nahitaji mpenzi (Mwanaume)

Habari wanajamvi nawasalimu kwa jina la Muungano

Mimi ni mwanamke wa miaka 27,
Sina mtoto
ninaishi Dar es Salaam.

Nahitaji mwanaume serious kwa ajili ya familia.
Miaka awe na 30 na kuendelea mwisho 40.
Awe christian.
Chura na Nido ipo yakutosha lkn
 
Mm Niko mbeya nna miaka 30 kamili ila niliwahi kuoa ndoa ikaota mbawa kwa maana nilitalakiana na mke,mna watoto wa3 kama uko tayar karibu pm but sitegemei kuish dsm maaan nipo huku kikaz na huku ndio nyumbani kwetu! Mawifi na wakwe watabisha hod kila siku!! Mm n mnyakyusa
nimependa ulivyomuweka wazi kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom