Kwani January kuwa Rais wa nchi 2025 kunatatizo lipi,nadhani chuki binafsi sana zenu,wewe ni mmoja au wawili watakaopiga kura kumkataa sio wote,haki kuwa na malengo Fulani katika maisha
Mimi mkibosho kbsaa wa Mango parish, kishumundu,kwa kikobosho sio jina zuri linaamaana Malaya nakadhalika,sasa sio kwamba waliopo wachagga wakishumundu ni masikini ila jina lao,mfano wachagga kama mboro,kimathi,na Mboya nikoo zenye mahusiano ambapo babu zao walikuwa ndugu ndio maana mboro wengi...
TISS nadhani wao hawana tatizo,tatizo sio Taasisi huru ingekuwa inajitegemea ingekuwa mbali,ingekuwa inawajibika kwa bunge ingekuwa safi sana,ila inawatendaji wengi wenye uwelidi mkubwa sana,ata hayo majipu yanayolipuka wao wanamchango mkubwa sana,nadhani kuu zaidi iwe huru kufanya mambo yake...
Ukimuona MTU jamii forum anakuambia anayefanya siasa chuoni ni mjinga basi tambua kuwa akupata elimu ya juu unapaswa kumsikitikia sana,viongozi wazuri katika mataifa yote duniani waliazia chuo kikuu,Mimi ni ccm damu ila siungi ushabiki wa mayai ya kwaree
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.