Recent content by Thuraiyah

  1. T

    Wenye ndoa piteni hapa kwa ushauri

    Madam is too formal bhana huwezi kumwita mkeo hvy, its yeye akwite SIR(mmmhhh sounds awkward) apologize n muonyeshe kwamba hukuwa n ufaham na uzito wa hilo neo. Tttz wanaume hawajui tu jaribu kuwaweka wake zenu wajifeel proud jmn
  2. T

    DJ fety aacha kazi clauds

    Anafanyakazi zake binafsi na kuolewa pia
  3. T

    Boss wangu amenitaka kimapenzi

    Duuu hiii kali ila KAZI HUTAFUTWA ILA UTU JAMANI ni kitu kingine kwa kweli. usiogope asimamie kwenye haki yake kuomba transfer ni one of her rights hayo mengine asimtishe.
  4. T

    Mume wangu ananipa wakati mgumu kipindi hiki nikiwa na ujauzito wake, hanijali

    Pole mamy, ni kuvumilia tu after all ni mieszi tisa tu si kama utakaa nayo siku zote. Wanaume wengine hawana huruma kwa kweli ila wanatofautiana wengine wanazidisha mapenzi kwa wake zao wakiwa katika hy hali ila wengine nd hvy.
  5. T

    Rough sex

    mmmhhhh
  6. T

    Nimueleweje huyu mwanamke?

    kwikwikwi hii kali
  7. T

    Hii Itakuhusu na wewe usiejua

    Jamani mwenye sifa yake apewe, mm c mwanachama wa chama chochote ila huyu baba anaroho ya peke yake kwa waliowahi kufanya nae kazi wanamjua vizuri sana na anavyosema hapendi umaskini anamaanisha kabisa.
  8. T

    Mtangazaji wa CTN Rahma Aziz

    Mijitu mingine bwana, kwani weupe nd dili kawaona malofa nd maana. acha kuchachawa hizo zimebandikwa. akili finyu
  9. T

    Kuna kitu kinakosekana kwangu, kwa kuwa nimekua bila malezi ya baba

    Hayapati ila kaamua kuelezea feelings zake super
Back
Top Bottom