Madam is too formal bhana huwezi kumwita mkeo hvy, its yeye akwite SIR(mmmhhh sounds awkward) apologize n muonyeshe kwamba hukuwa n ufaham na uzito wa hilo neo. Tttz wanaume hawajui tu jaribu kuwaweka wake zenu wajifeel proud jmn
Duuu hiii kali ila KAZI HUTAFUTWA ILA UTU JAMANI ni kitu kingine kwa kweli. usiogope asimamie kwenye haki yake kuomba transfer ni one of her rights hayo mengine asimtishe.
Pole mamy, ni kuvumilia tu after all ni mieszi tisa tu si kama utakaa nayo siku zote. Wanaume wengine hawana huruma kwa kweli ila wanatofautiana wengine wanazidisha mapenzi kwa wake zao wakiwa katika hy hali ila wengine nd hvy.
Jamani mwenye sifa yake apewe, mm c mwanachama wa chama chochote ila huyu baba anaroho ya peke yake kwa waliowahi kufanya nae kazi wanamjua vizuri sana na anavyosema hapendi umaskini anamaanisha kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.