Siku zote hua naamini kitu kimoja Tanzania kua ni nchi inayojinasibu kwa amani na utulivu ila ni moja ya nchi duniani ambazo watu wake unaeza kuwanyonya na kuwanyayasa vile utakavyo kabisa na ktk mtazamo huu usije fikiri kufanya jambo na Mtanzania la kimkakati utafeli asubui kweupe.
Hili...
Kwanza pole na kazi dr mimi nasumbuliwa na tatizo la UTI niseme ni sugu mana nlienda kupima nkaadikiwa dawa mara ya kwanza nlichoma powerself tano bado nkawa naskia maumivu ya korodani moja ya kulia mpk sehem ya juu ya tumbo km eneo la kitovuni kwa pembeni upande wa kulia nkaenda tena kupima kwa...
Kimsingi katika utawala huu ukihoji kitu ambacho kibovu kilipita mikononi mwa rais wa sasa akiwa bosi wa wizara inayoonekana kuwa na dosar nyingi utaambulia kutukanwa tena na wasomi kabisa lakin pia si hivyo tu mpk watakuandika ww ni mpinzani kwa hivi na mgombea wako atahusishwa kwa matusi ni...
Kiongozi hapa nmekuelewa vizuri binafsi hata mm najiuliza je shida nn mbn kuna Waziri alomteua mwenyewe na hajaenda kufanyia kazi hilo badala yake yy km kiongozi aliepaswa kupokea mirejesho kaenda mwenyewe km tu atawawajibisha hawa yan mkurugenzi na wachin yake asimwache waziri mwenyewe piaaaa
Tatizo one man show swali la kujiuliza je hamna mteule kwenye wizara hiyo??mpk muda huo ahusike yy kufumua madudu hali mteule wa eneo hilo yupooo?je hii inatoa taswira gani ?na je ni hao watendaji pekee ndo tuwawajibishe na kumwacha mteule wake?nadhani mmenielewa hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.