Magufuli is not planned ccm president but coincidanse elected as ccm candidate to save things fall apart. We love him and not notorious leaders in the chama.
Natabiri tu, hotel kukosa wateja kutoka serikalini. Ndege za root za china na Dubai soko kudorora, sasa hivi baa nyingi zitakosa wateja na watoto wa wapiga dili kurudi senti Kayumba, ni mambo mengi nitaendelea......... hii muhimu kuna kampuni nyingi zitakufa kifo cha mende.
nimeipenda hii, mwalimu haogopi kutandika eti jioni atapigwa mawe. Hongera sana sana waalimu. Mwalimu Magufuli usiogope mawe piga pindi na viboko kwa sana atakulipa Mwenyezi Mungu.
Every sciencentist belive there are supernatural power which run everything. Ni nani ameweza kuprove nguvu za uvutano zinazoshikilia sayari zote. All these are acquired science, lakini vipo vingi ambavyo ni hayajibiwi kisayansi kihesabu kifilosophia hata kifikra. uliwahi kujiuliza kama Mungu...
Miti yote utelizi labda jaribuni mpera huwa hauna utelezi. kisaikolojia wanataka kutuaminisha goli ya mkono maandamano feki na propaganda kibao but watu bado wanampenda LOWASA aliyemchagua Mungu wanadamu hawawezi kumzuia.
Ah. unachambua vizuri kweli. Una uwezo wa kushawishi fikra ndogo, na mtazamo wa hofu kubadilika. Lakini uandishi wako umejaa ushabiki na muelekeo wa upande mmoja. Be nutral writter ili taifa hili limanye maamuzi sahihi. Kwa mtazamo na fikra yakinifu, jeshi imara si zote hufanya mazoezi ya...
Kama noma na iwe noma. Sitajuta kupiga kura kwa LOWASA hata nikiambiwa kaiba jana. Sio ushabiki ila utendaji wake ndo unanishawishi, kigezo cha ziada ni yeye kuwa UKAWA. Mungu ninayemuabudu huwa anasamehe. Paulo, Musa wote walikuwa wauwaji but wamesamehewa na wakawa watendaji wazuri wa serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.