Naishi Arusha, haya ni ya ukweli kabisa, Dar kwenye migahawa wapo fresh sana, sana sana, mara wakuite bocy, watabasamu, wakuulize etc, Arusha? NO WAY, sehemu nyingi hiyo hakuna, Ila HOTEL Kubwa ukaribu upo wa training! Kuna ukaribu wa utamadumi, na mazingira na wa Darasani, Dar mnao social...