Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Kuna kina dada ambao wamejikuta wana tatizo la hemoroid (kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa) hivyo kuwa wasiri sana na kutokuwa wawazi ili wapewe msaada.
Miongoni mwao wapo ambao walipatwa na tatizo hilo tu baada ya kujifungua na wengine katika mazingira ya kawaida.
Sasa naendesha kampeni hii ili kuwasaidia, nitawalipia matibabu na wenyewe watachangia kidogo sana ili kuonyesha wana utayari wa kujituma mpaka wapone maana wengine wakisikia unawalipia wanazembea kuhudhuria tiba mwisho wa siku najikuta nimepoteza hela.
Walio na tatizo hili watalipiwa matibabu ambapo nimeshafanya mazungumzo na madaktari bingwa wa kutibu na kuna uhakika wa wenyewe kutibiwa. Nimeingia mkataba na ma daktari na hospitali ambazo watatibiwa.
Mwenye tatizo aje inbox nitamuunganisha na hospitali ambayo nimesaini mkataba atahojiwa na daktari na hivyo kukubaliana lini akatibiwe.
Karibuni. (nisipotoa kidogo kwa ninachopata kwa walio na matatizo Mwenyezi Mungu hata nielewa, lazima nitoe sadaka).
UPDATES:
HADI SAA 5 ASUBUHI LEO HII NILIKUWA NIMESHAPOKEA PM ZA KINA DADA 7 NA WOTE NIMEWAELEKEZA KWA MADAKTARI NA MUDA HUU NIMEPATA UPDATES KWA MADAKTARI KUWA WAMESHAWAPANGIA RATIBA YA TIBA KWA 5 WENGINE NAONA BADO WANATAFUTA VOCHA YA KUWAPIGIA MA DAKTARI. Mwenyezi Mungu awaponye.
Miongoni mwao wapo ambao walipatwa na tatizo hilo tu baada ya kujifungua na wengine katika mazingira ya kawaida.
Sasa naendesha kampeni hii ili kuwasaidia, nitawalipia matibabu na wenyewe watachangia kidogo sana ili kuonyesha wana utayari wa kujituma mpaka wapone maana wengine wakisikia unawalipia wanazembea kuhudhuria tiba mwisho wa siku najikuta nimepoteza hela.
Walio na tatizo hili watalipiwa matibabu ambapo nimeshafanya mazungumzo na madaktari bingwa wa kutibu na kuna uhakika wa wenyewe kutibiwa. Nimeingia mkataba na ma daktari na hospitali ambazo watatibiwa.
Mwenye tatizo aje inbox nitamuunganisha na hospitali ambayo nimesaini mkataba atahojiwa na daktari na hivyo kukubaliana lini akatibiwe.
Karibuni. (nisipotoa kidogo kwa ninachopata kwa walio na matatizo Mwenyezi Mungu hata nielewa, lazima nitoe sadaka).
UPDATES:
HADI SAA 5 ASUBUHI LEO HII NILIKUWA NIMESHAPOKEA PM ZA KINA DADA 7 NA WOTE NIMEWAELEKEZA KWA MADAKTARI NA MUDA HUU NIMEPATA UPDATES KWA MADAKTARI KUWA WAMESHAWAPANGIA RATIBA YA TIBA KWA 5 WENGINE NAONA BADO WANATAFUTA VOCHA YA KUWAPIGIA MA DAKTARI. Mwenyezi Mungu awaponye.