Kina dada wenye tatizo la hemoroid (kutokwa na nyama sehem ya haja kubwa) kuna fursa la sponsorship

Ahsante sana kwa kuonyesha nia ila sijaona kama ni wengi kiivyo ila tutawasiliana nitakwambia wakizidi ili muwachukue wengine ila inbox contact ili naweza nikakupigia kuwapeni wengine, gharama nimeshaandika kwenye majibu fuatilia utaona gharama.
How much do you sponsor them? wakikuzidi si mbaya ukishirikiana nasi pengine twaweza kuweka mkono hapo! HONGERA SANA KWA KUWASAIDI DADA NA MAMA ZETU!
 
akhsante sana sasa mtu akishaenda hospitali sihusiki tena huko ila ntasubiri Invoice na baadae risiti tu mengine siwezi jua tena. cost ndo kama hizo nimetaja hapo juu maana kila hospitali ina gharama zake.
Sawa, this is good! and on the same note: Nakushauri tu, weka angalizo zuri la uwezo wa hao watu, vifaa na kazalika, Si unajua ndugu wa Tanzania tunavyopenda kubahatisha? Hao wauguzi wetu wasije kukuangusha ndugu! Nilitaka tu kujua average cost sio mkataba, ALL THE BEST!
 
akhsante sana sasa mtu akishaenda hospitali sihusiki tena huko ila ntasubiri Invoice na baadae risiti tu mengine siwezi jua tena. cost ndo kama hizo nimetaja hapo juu maana kila hospitali ina gharama zake.

Kuna issue hapa mkubwa, Quality and safety assurance inaweza ku fall kwako! who introduced wagonjwa kwa Daktari? ni wewe, then lazima ufanye utafiti wanafaa, ku waive hii liability ni labda uwaache waende hospital wenyewe! but kama umechagua Hospital au daktari halafu wakapata shida inaweza kukuletea changamoto baadae! anyway, nashauri tu, sio najaribu kukukosoa, ni vyema ukawa na idea ya haya mambo yote!
 
Mkuu nikupongeze kwa kuonyesha kujali. Ni kweli wanawake, hasa huku Afrika, kuna wengi wanasumbuliwa na magonjwa ya ambayo hawajui pa kuanzia au huona aibu kwenda hospital kuelezea. Ningekushauri ungeeleza zaidi unawalenga wanawake wa maeneo gani (kwani Bongo ni kubwa) na wao watachangia asilimia ngapi ya matibabu (ili mtu ajipe kama ataweza. Elfu thelathini inaweza kuwa ndogo sana kwako ila kwa mwingine ni kubwa sana).
niseme tu kwamba wanatofautiana ki uwezo hapa ndio pagumu wengine hali ngumu ya maisha hapo tuna burgain kuangalia wapi anaweza mfano namuanzia sh 260,000 kwenda chini hati tutakapo kubaliana tukikubaliana natuma email hospitali husika na details na gharama atakazi jilipia mwenyewe wana take note halafu wanampigia wanakuwa na mazungumzo na yeye na kumpangia wanakubaliana mengine sasa ambayo mimi sihusiki huko.
 
Kuna issue hapa mkubwa, Quality and safety assurance inaweza ku fall kwako! who introduced wagonjwa kwa Daktari? ni wewe, then lazima ufanye utafiti wanafaa, ku waive hii liability ni labda uwaache waende hospital wenyewe! but kama umechagua Hospital au daktari halafu wakapata shida inaweza kukuletea changamoto baadae! anyway, nashauri tu, sio najaribu kukukosoa, ni vyema ukawa na idea ya haya mambo yote!
ok nashukuru niseme tu kwamba mimi sijachagua Daktari hata kidogo hospitali ndio inachagua daktari kama tunavyoenda kutibiwa unayemkuta aliyepangiwa zamu hiyo basi, mimi nilichokifanya nikuangalia ni hospitali ipi inayoweza kutibu vizuri tatizo hilo na ina sifa maana nimewauliza wenyewe kama wana experience ya kutibu magonjwa kama haya na kuomba idadi ya wanao tibiwa basi wakaingia more deep kunionyesha hadi ma file ya wengine ambao wametibiwa miaka ya nyumba basi hapo nikaona hapa inawezekana. ku locate hospitali nafikiri sio mbaya badala ya mtu kwenda ambapo panaweza pakawa hadhi ikawa chini anaweza akasema hapataki so far sijasikia aliyekataa hospitali wamependa sana.
 
ok nashukuru niseme tu kwamba mimi sijachagua Daktari hata kidogo hospitali ndio inachagua daktari kama tunavyoenda kutibiwa unayemkuta aliyepangiwa zamu hiyo basi, mimi nilichokifanya nikuangalia ni hospitali ipi inayoweza kutibu vizuri tatizo hilo na ina sifa maana nimewauliza wenyewe kama wana experience ya kutibu magonjwa kama haya na kuomba idadi ya wanao tibiwa basi wakaingia more deep kunionyesha hadi ma file ya wengine ambao wametibiwa miaka ya nyumba basi hapo nikaona hapa inawezekana. ku locate hospitali nafikiri sio mbaya badala ya mtu kwenda ambapo panaweza pakawa hadhi ikawa chini anaweza akasema hapataki so far sijasikia aliyekataa hospitali wamependa sana.

Last note: Again, seek advice from a lawyer or rafiki yeyote unayemfaham, mueleze my concern then umsikilize, all the best!
 
kwanza sifanyi biashara swala hili ni la muda tu kwakuwa kazini nimelipwa pesa flan hivi nikaona nijitose kwa hili sasa nikiweka contact zangu zote hata itakapoisha muda wake nitakuwa naipigiwa simu na kuwasiliana na mimi huku wakiwa wanafikiri kuwa hili zoezi ni endelevu. walio kuja inbox wanajua namba yangu ya simu maana ni wahusika zaidi, ndio simjibu mtu ambaye sio mhusika maana kuna maswali 6 namuuliza kabla sijamkabidhi kwa dactari amuhoji.


Maelezo yako yanaacha "shaka kadhaa".


Kila la kheri kwa hao waliokuja huko inbox kisha ukawapa namba zako za simu ili muwasiliane waweze kupata "msaada" huo toka kwako msamaria mwema.


Again hongera kwa "moyo" huo Kama "kweli" unakusudia kuwasaidia dada na mama zetu.
 
Yanaweza kuwa Majina yako lakini bado hayafanyi account yako kuwa verified.

Chukulia Ushauri huo kwa namna chanya Kama una nia ya dhati kusaidia wahanga wa tatizo Hilo.

Kuwa na verified account maalum kwa Jambo Hilo andika post yenye details zako zote muhimu na namna unavyopatikana (anuani na namba za simu ni muhimu).


Ukifanya hivyo utakuwa umesaidia kufikiwa na wenye uhitaji bila hata kufahamu ID zao za humu, hiyo itaimarisha na kuendelea Kulinda faragha za wahusika.


Otherwise hongera kwa Moyo huo wakusaidia wenye uhitaji.
Hamna kitu hapo anafanyia utafiti maradhi ya watu
Haiwezekani utangaze kuwalipia watu matibabu halafu ujifiche fiche,wenye maradhi yao eti ndio wakufuate
Utasikia tu bomu linalipuka
 
Hayo ni majina yangu, wewe hunijui ndo maana unaongea hivyo. kwani akija inbox si atanifahamu maana namuelekeza.
Wacha kufanyia utafiti matako ya watu wewe
Kama una nia njema tangaza majina weka namba zako hadharani
Yaani mwanamke anakuja inbox,anakupa namba zake unampa za doctor ambae ni wewe ili badae umchore tu.
Kuna daktari aliwahi kufungwa marekani kwa ku enjoy kuchezea nyuchi za wanawake na kuzipiga picha za siri.
Kichaa kilipopanda akazimwaga mitandaoni
 
Hongera sana Chris. Mimi nina admit nilikuwa mhanga Wa hilo tatizo tangu nipo primary.kwanza nilikuwa Nina matatizo ya choo .mama angu alinihangaikia kwa madawa .zamani kabisa nilitoka na mnyoo mkubwa wakati Wa kwenda haja kubwa. From that moment nikawa muoga Wa kwenda haja kubwa.baadae choo kikawa cha shida mwisho Wa siku nikapata hamorrage ya bawasiri. Mwisho Wa siku nikaona njia sahihi ni operation .nilikatwa, ganzi ilivyotoka maumivu yake sisahau. Ila mwisho Wa siku tatizo likaisha.na nimebadilisha mfumo Wa kula. Kwa hiyo wadada wenye hilo tatizo msi suffer silence, kuna magonjwa makubwa kuliko hayo.
 
Back
Top Bottom