Kwani ili ujiajiri kwenye hicho kilimoo unachoita cha kisasa unahitaji mtaji wa sh ngapi
Acha ujinga, uza smart phone uliyonayo anza kufuga kuku wa kisasa, tengeneza mtaji JIAJIRI.
wapo wakulima wengi vijijini wanahitaji ushauri wa kilimo, kuwa FREELANCER AGRICULTURE CONSULTANT hii haihitaji hat sh 10. Anza ulipo, usitake kuanzia mbali. Muda haukusubiri.
h
Huyo hajakusaidia kakuuwa kimtazamo endelea kusikiliza waliofeli, wakati wenzio wanaanza from 0. unawaza mtaji ni pesa tu? mtaji wa kweli ni ww mwenyewe kwanza.
kama ni mtoto wa masikini na mkopo umepewa ukaacha kufocus mbele, ukakimbilia kununua sabufa na smart phone badala kununua au kuweka mtaji wa mbegu na kuanza kulima lazima tutegemee haya yanayotokea. MUNGU UTUHURUMIE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.