Natafuta kazi, Nina Diploma ya Kilimo

Natafuta kazi, Nina Diploma ya Kilimo

h

Huyo hajakusaidia kakuuwa kimtazamo endelea kusikiliza waliofeli, wakati wenzio wanaanza from 0. unawaza mtaji ni pesa tu? mtaji wa kweli ni ww mwenyewe kwanza.
Sio rahisi ka unavyochuchukulia me nimeomba msada Wa kupata kazi baada ya apo ndo ntakuwa na uwezo Wa kuanzisha miradi ila kwa saiv siwez kaka
 
Sio rahisi ka unavyochuchukulia me nimeomba msada Wa kupata kazi baada ya apo ndo ntakuwa na uwezo Wa kuanzisha miradi ila kwa saiv siwez kaka
wapo wakulima wengi vijijini wanahitaji ushauri wa kilimo, kuwa FREELANCER AGRICULTURE CONSULTANT hii haihitaji hat sh 10. Anza ulipo, usitake kuanzia mbali. Muda haukusubiri.
 
wapo wakulima wengi vijijini wanahitaji ushauri wa kilimo, kuwa freelance Agricultural consultant hii haihitaji hat sh 10. Anza ulipo, usitake kuanzia mbali. Muda haukusubiri.
Kaka hao wakulima unaozungumzia unatibu mifugo yake hela anatoa kwa shingo upande sembuse kutoa ushaur tuu,,napenda sana kujiajiri tushawahi kujiorganize tulianzisha mradi uliishia njiani kutokana na ukata
 
kama ni mtoto wa masikini na mkopo umepewa ukaacha kufocus mbele, ukakimbilia kununua sabufa na smart phone badala kununua au kuweka mtaji wa mbegu na kuanza kulima lazima tutegemee haya yanayotokea. MUNGU UTUHURUMIE
Nyie ndio wale mnaosemaga ukikosa kazi shika jembe ukalime
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
utasubir sana ndugu yangu, tatizo kubwa la wabongo tunapenda sana lain lain, watu wengi wenye mitazamo has wanaamin maisha yako kwenye kuajiriwa, jiajir ww acha ujinga
 
utasubir sana ndugu yangu, tatizo kubwa la wabongo tunapenda sana lain lain, watu wengi wenye mitazamo has wanaamin maisha yako kwenye kuajiriwa, jiajir ww acha ujinga
Asante,,,vp we umejiajir?
 
Kaka hao wakulima unaozungumzia unatibu mifugo yake hela anatoa kwa shingo upande sembuse kutoa ushaur tuu,,napenda sana kujiajiri tushawahi kujiorganize tulianzisha mradi uliishia njiani kutokana na ukata
Kwani ili ujiajiri kwenye hicho kilimoo unachoita cha kisasa unahitaji mtaji wa sh ngapi
Kaka hao wakulima unaozungumzia unatibu mifugo yake hela anatoa kwa shingo upande sembuse kutoa ushaur tuu,,napenda sana kujiajiri tushawahi kujiorganize tulianzisha mradi uliishia njiani kutokana na ukata
Acha ujinga, uza smart phone uliyonayo anza kufuga kuku wa kisasa, tengeneza mtaji JIAJIRI.
 
Kwani ili ujiajiri kwenye hicho kilimoo unachoita cha kisasa unahitaji mtaji wa sh ngapi

Acha ujinga, uza smart phone uliyonayo anza kufuga kuku wa kisasa, tengeneza mtaji JIAJIRI.
Smart phone nayotumia ina thamani ya 40000_50000
 
Mimi ni muhitimu Wa stashahada ya kilimo na mifugo mwaka 2016 natafuta kazi kulingana na taaluma niliyo somea,,umri wangu miaka 25 napatikana Dodoma,,

Naomba kwa yeyote anisaidie kupata kazi hata kwenye mashirika binafsi,miradi ya kilimo na mifugo,,taasisi za utafiti wa mazao na wadudu,,natanguliza shukrani kama ntasaidiwa mtaani kugumu sana!!!
Hongera sana ndugu yangu,kwa confidence ulio onesha kuomba ajira on public,ni wachache sana wenye moyo huo na huo ni moyo na mwanzo wa wa mafanikio yako.
Naitwa Godfrey Mtega Nipo Dodoma pia:Jana na leo kulikua na semina kwa vijana hapa dodoma ya Fursa 2016,Alikuepo mbunge na naibu waziri wa vijana.Zilizungumzwa fursa nyingi sana na nimejifunza mengi sana.Nicheki ninaweza kukusaidia kukupa mwongozo ambao unaweza kukusaidia.
Tel:0758297744
Email:godfreymtega@gmail.com
 
Kilimo biashara lazima uwe na mtaji Wa kutosha ili ufanye kilimo chenye tija sio kwa kutegemea jembe la mkono,,asante kwa kushiriki

Kama unajua hali yako duni kubali kuanzia chini. Kwa nini ufikirie kilimo cha mtaji mkubwa?
Fikiri tu kuanzia chini ndipo ukuwe uende kwenye uzarishaji mkubwa.
Kikubwa nia ya kufanya jambo, kama hakuna nia lazima uwe na sababu za kujifichia.
Kuna watu hawaja soma kilimo na walianza kwa jembe la mkono ekari moja Na Leo hii wamesimama kabisa sasa kwanini wewe ambaye umesoma ushindwe kujiongeza?
Usiishi kwa mazoea mkuu.
 
Nenda jeshini mzee jkt utafaa sana
Uko nishawah kujaribu bt nilikwama saiv sina interest na mambo ya jeshi kutokana na magumashi tuliyofanyiwa kwenye interview ya mwisho
 
Mimi ni muhitimu Wa stashahada ya kilimo na mifugo mwaka 2016 natafuta kazi kulingana na taaluma niliyo somea,,umri wangu miaka 25 napatikana Dodoma,,

Naomba kwa yeyote anisaidie kupata kazi hata kwenye mashirika binafsi,miradi ya kilimo na mifugo,,taasisi za utafiti wa mazao na wadudu,,natanguliza shukrani kama ntasaidiwa mtaani kugumu sana!!!
Tufanye ubia tulime mimi na shamba eka 20 wewe share yako ni elimu yako tu,me share yangu ni shamba na mtaji wa mbegu na mbolea then tuone tuneweza kushare kwa asilimia ngapngapi!
 
Tufanye ubia tulime mimi na shamba eka 20 wewe share yako ni elimu yako tu,me share yangu ni shamba na mtaji wa mbegu na mbolea then tuone tuneweza kushare kwa ailimia ngapngapi!
Shamba lipo wapi
 
Tufanye ubia tulime mimi na shamba eka 20 wewe share yako ni elimu yako tu,me share yangu ni shamba na mtaji wa mbegu na mbolea then tuone tuneweza kushare kwa ailimia ngapngapi!
Nimekupm number yangu naomba tuwasiliane
 
Shamba lipo wapi

Sasa unachagua sehemu ya kwenda?
Wewe wapi unakwenda na shamba likiwa wapi hutaki ?
Jamaa amesema muunganishe nguvu sasa hapo kitu ambacho umeona cha msingi ni kujua wapi shamba lilipo na huna chamamsingi cha kushare na huyo jamaa ili mfikie lengo!
 
Sasa unachagua sehemu ya kwenda?
Wewe wapi unakwenda na shamba likiwa wapi hutaki ?
Jamaa amesema muunganishe nguvu sasa hapo kitu ambacho umeona cha msingi ni kujua wapi shamba lilipo na huna chamamsingi cha kushare na huyo jamaa ili mfikie lengo!
Nishamtumia number
 
Back
Top Bottom