donpier91
JF-Expert Member
- Sep 15, 2016
- 440
- 370
Mimi ni kijana,,umri wangu miaka 25 nimehitimu stashahada ya kilimo na mifugo(Diploma in general agriculture) 2016
Naomba kwa yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia kupata kazi ya taaluma yangu au kazi yoyote halali
Nina ozoefu wa miezi 6 kazini kama afisa kilimo msaidizi(field practical maeneo ya mbeya na rungwe).
Natanguliza shukran,,napatikana kwa number 0766852884 nipo Dodoma,mpwapwa
Ikiwezekana hata kwa kujitolea nipate ozoefu,,,mungu awabariki
Naomba kwa yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia kupata kazi ya taaluma yangu au kazi yoyote halali
Nina ozoefu wa miezi 6 kazini kama afisa kilimo msaidizi(field practical maeneo ya mbeya na rungwe).
Natanguliza shukran,,napatikana kwa number 0766852884 nipo Dodoma,mpwapwa
Ikiwezekana hata kwa kujitolea nipate ozoefu,,,mungu awabariki