Recent content by TheOnlySurvivor

  1. TheOnlySurvivor

    Ebitoke amzawadia mpenzi wake Simco gari siku ya kuzaliwa “Kuna vitu vimechelewesha kuitoa yadi”

    Majanga chief.huwa nawaangalia sana vijana wenzangu halaf nataka kukubalibmay be mm ndio nimepitwa na wakat lakin Noo idea hiyo inagoma kabisa kukubalika kwenye akil yangu. Vijana sijui wamepagawa na nn aisee
  2. TheOnlySurvivor

    Kitu gani kilikufanya ukaachana na mpenzi uliempenda sana?

    Ooohh!!! Ww mkuu naona sasa umeamua tu kutuchefua kwa makusudi.Dooh!! Ahahahhah. Mtu huyo hata siku 2 siwez maliza nae
  3. TheOnlySurvivor

    Kitu gani kilikufanya ukaachana na mpenzi uliempenda sana?

    Hata KUPENDA SANA sikui ndio maana yake nn.sijawah kupenda sana.Hata mkewangu sio kwamba nampenda sana. Nampenda though.
  4. TheOnlySurvivor

    Wanawake tajeni top 10 ya I'd za kiume zenye majina mazuri...

    Una maana wadau licha ya kuandika vitu vyavmaana ila ID zao ni mbaya au hazikuvutii? Ahahahahah
  5. TheOnlySurvivor

    Hivi na nyinyi mko kama mimi?

    Mkuu kwan ww ndie yule ulisema una insomania chief!!?. Au ni agent wa tiss au lucifer unawanga?? Ahahahhahahah.Kidding man
  6. TheOnlySurvivor

    Mistakes you cant take back...

    Okay sawa.ila siwez peleka wanangu shule za serikali .Never
  7. TheOnlySurvivor

    Mistakes you cant take back...

    Kwahiyo mkuu unataka niwatoe ma binti zangu shule za kingereza? Ahahahah
  8. TheOnlySurvivor

    Vitu siwezi kuja kufanya kwasababu ya mapenzi

    Nilivyokua nasoma hizo sababu nikawa natarajia kukutana na mahali ambapo ukiombwa utinduliwe mtaro wa maji taka basi utaamua kumuacha huyo boy au man wako.Kumbe gresh tu huna shida na hilo. By the way itakua ni sehemu ya ku explore anatomical pleasures.
  9. TheOnlySurvivor

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kaka naomba uimalizie mpaka huko maana mbali na kula tunda kimasihara huu pia ni uzi wa mafunzo na burudan ku share life stories kama hazitakuathiri sana binafsi. Please naomba uweke huo muendelezo kuufanya uzi uwe na nakshi
  10. TheOnlySurvivor

    Unajua mwanaume anaweza kukuchukia na bado akafanya napenzi na wewe?

    Mwanaume hafanyi mapenzi. Anafanya ngono. Mapenzi wanafanya wanawake
  11. TheOnlySurvivor

    Maisha ni magumu utadhani nchi iko Vitani

    Ndio utuelezee ww unayepajua huko basi
  12. TheOnlySurvivor

    Wanaume wanaoshadadia masuala ya bikra ni waoga wa wanawake

    Kwan si ndio ww ulishasemaga kuwa bikra ni kapu la ndoa. Au unameza maneno yako leo mbele ya mwanamama huyu.
Back
Top Bottom