Hivi na nyinyi mko kama mimi?

Hivi na nyinyi mko kama mimi?

 
nimefuatilia posts zako za nyuma, tatizo lako ni la kisaikolojia zaidi, kutokana na kuwa threatened katika mapenzi katk umri mdogo.

Mikasa uliyopitia hasa ile ya kubakwa na baba yako ndio inakufanya uone sex ni chungu sana.

NB.
Tafuta psychological therapist akusaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi mwenyewe nazeeka sasa nijaribu kuingia kwa relation na inagoma, sijui sex itakuwaje...
Mimi tokea nipate akili nmewahi kuwa ktk relationships 2 tu hii ya sasa hv ni ya pili. Lakn ktk hizi relationship sijawahi kufurahia sex, kwangu mimi sex sio starehe km wengine. Huwa nafurahia sex nikiwa na stress tu lakin nikiwa kwa hali ya kawaida nafanya tu km kumpa ushirikiano mwenzangu lakn sioni raha ila nikiwa na stress napata raha haielezeki. Nikiwa kawaida romance inanipa raha kuliko sex. Hv Kwann inakuwa hv? Na nyinyi pia mko km mimi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi tokea nipate akili nmewahi kuwa ktk relationships 2 tu hii ya sasa hv ni ya pili. Lakn ktk hizi relationship sijawahi kufurahia sex, kwangu mimi sex sio starehe km wengine. Huwa nafurahia sex nikiwa na stress tu lakin nikiwa kwa hali ya kawaida nafanya tu km kumpa ushirikiano mwenzangu lakn sioni raha ila nikiwa na stress napata raha haielezeki. Nikiwa kawaida romance inanipa raha kuliko sex. Hv Kwann inakuwa hv? Na nyinyi pia mko km mimi?
Hujapata wa kukukojoza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipo kuwa advance level nlikuwa napenda kujisomea katika darasa lenye makelele yani siwezi kukaa darasa lililo kimya kwan siwi comfortable ety wao wanapiga kelele mi niko kimya nasoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi tokea nipate akili nmewahi kuwa ktk relationships 2 tu hii ya sasa hv ni ya pili. Lakn ktk hizi relationship sijawahi kufurahia sex, kwangu mimi sex sio starehe km wengine. Huwa nafurahia sex nikiwa na stress tu lakin nikiwa kwa hali ya kawaida nafanya tu km kumpa ushirikiano mwenzangu lakn sioni raha ila nikiwa na stress napata raha haielezeki. Nikiwa kawaida romance inanipa raha kuliko sex. Hv Kwann inakuwa hv? Na nyinyi pia mko km mimi?
Katika relationship hizo mbili haujawahi kufanya sex ila huwa unafanya ukiwa na steress sasa waga unafanya na kina nani mda huko unajiuza barabarani au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daima huwezi sikia mwanamke akikwambia ameshadabuliwa na wadau hata watatu tu..

Kila mwanamke anasema ameshatembea na wawili tuu...
 
duuu ngoja waje wazee wenyewe wenye upeo mkubwa maana kwangu hii mpya sana
 
Back
Top Bottom