Recent content by theLaikwanani

  1. theLaikwanani

    Why is faster INTERNET access so expensive in Tanzania compare to Kenya???

    Tanzania like Kenya has the save fiber network but in Kenya access to faster internet is cheaper which has allow for companies to have their offices in Kenya while Tanzania has lag behind. There is more vibrate startup scene in Kenya again due to cheaper and affordable internet compare to...
  2. theLaikwanani

    Dkt. Luis Shika ni nani? Tumfahamu zaidi

    Pata habari za hii kesi hapa https://scontent-atl3-1.xx.fbcdn.net/v/t31.0-8/22791635_860530897460571_4631805948125969759_o.png?oh=0888b2c4fc10a8de9c95fae13c57c4bd&oe=5AAE97C9
  3. theLaikwanani

    Why do Tanzanians need a reason to apply for passport?

    Wewe unaongelea nini kweli? why shud we accept less than other countries? Kenya has improved their passport issuing process and it super fast. Embu fikiria kabla ya kuongea na jaribu kufikiria ubora zaidi ya ulivyo zoea. Tunapo taka hizi passport tunalipia na hatujali kama gharama ni kubwa...
  4. theLaikwanani

    Why do Tanzanians need a reason to apply for passport?

    Ninayo ndugu kama watano wame apply na wote wakaambiwa wapate barua au waonyeshe mwaliko wa kutembelea nje ya nchi kitu ambacho ni cha ajabu kwa dunia yaleo. Wabongo wanapenda kusafiri hata kama ni kwenda dubai, sauzi n.k. mimi naona kama kuuliza hivyo vitu vimepitwa na wakati
  5. theLaikwanani

    Why do Tanzanians need a reason to apply for passport?

    ??? hapa sielewi point yako
  6. theLaikwanani

    Why do Tanzanians need a reason to apply for passport?

    A friend of mine from Tanzania wanted to get a passport just to have it in case she wants to travel outside Tanzania and they wanted her to submit a proof that she is in fact has such trip. Isn't passport a right for any Tanzanian? Why do Tanzanians need a proof or show that they need the...
  7. theLaikwanani

    Acccess East African Radios from anywhere! Radio za Nyumbani

    Sawa mkubwa tumia app yeyote unayotaka kama unaona Sikiliza haina manufaa kwako ni sawa pia. Mimi natumaini wengine watoona ina manufaa na watatumia. Kila la kheri mh.
  8. theLaikwanani

    Acccess East African Radios from anywhere! Radio za Nyumbani

    Nikweli sema hivyo haitawezekana kwa sababu radio huwaka inasambazwa live -- labda tuweke jinsi ya kurekodi radio usikilize baadaye
  9. theLaikwanani

    Acccess East African Radios from anywhere! Radio za Nyumbani

    wewe umejaribu app yetu? Radio garden iko vizuri ila ila vitu vingi kwa mtu ambaye anataka tu kusikiliza radio. Pia radio garden kwa kuwa ina vitu vingi inakula data sana kwa hiyo siyo nzuri kwa watu ambao wako makini na data. App yetu iko inazingatia umuhimu wa redio kwa kila nchi. Mtanzania...
  10. theLaikwanani

    Acccess East African Radios from anywhere! Radio za Nyumbani

    Bado hawajaweka uwezo wa ku stream online. Kama unafanya nao kazi waambie tunaweza wasaidia kufanya mitambo yao pia iweze kuwa kwenye inteneti na kuwekwa kwenye app yetu.
  11. theLaikwanani

    Acccess East African Radios from anywhere! Radio za Nyumbani

    Send us an email at info@sikiliza.co.tz au unaweza weka hapa kwenye tovuti yetu sisi tutahiruhusu iwe kwenye app -- SIKILIZA Nijulishe bado kama unamaswali. Asante
Back
Top Bottom