Recent content by theearth

  1. theearth

    Historia ya dunia inapaswa kumkumbuka huyu mwamba wa Kirusi, kwani alishawahi kuuokoa ulimwengu

    Hahaha… “Kama vipi bonyeza kitufe na wewe huko ili madude yakafanye yao” “Wahuni sio watu” Ila Castro alikuwa ntu na nusu
  2. theearth

    Je, unafahamu kwanini maisha yako yameandamwa na mikosi pamoja na Mambo mabaya?

    Shukrani kwa mada, mkuu Umeielezea vizuri sanaa, hasa kwenye mfano wa komputa na binadamu, vitu vingi vinavyotutokea sio bahati mbaya, bali ni matokeo ya matamanio, vitu tunavyowaza au kufanya mara kwa mara Wataalamu wanasema mambo mengi mazuri au mabaya yanayotutokea, husababishwa na sisi...
  3. theearth

    Dkt. Louis Shika: Undercover informer aliyenusurika kifo ughaibuni?

    Mkuu naona kama umehamisha mada ila kakijaharibika kitu. Kwanza, ninachosimamimia mimi ni kuwa Dr. Shika ana elements zote za Ujasusi, kulingana na maelezo yake na alaivyoelezea Mshana. Inshu ya kwanini kampuni iwe na jina kubwa lakini inatumia website ya kulipia, hilo sitaweza kukujibu kwa...
  4. theearth

    Dkt. Louis Shika: Undercover informer aliyenusurika kifo ughaibuni?

    Je wewe umetumia vigezo gani kupinga bro! Je hapo unapinga ukiwa kama nani, Mchambuzi, Mchumi, Askari, Daktari, Engineer au nani mkuu! Je umepanga bajeti ya kiasi gani kukamilisha risechi yako? Je utaenda Russia na Spain kujiridhisha? Au itakuwa ni resechi ya humu humu kwenye mitandao...
  5. theearth

    Dkt. Louis Shika: Undercover informer aliyenusurika kifo ughaibuni?

    Tatizo lipo wapi hapo mkuu? Mshana amelezea kulingana na maelezo ya Dr. Shika, hayo nimambo ya kufikirika. Bila shaka wengi walikuwa na mawazo kama ya Mshana, binafsi sioni tatizo na fikra za Mshana. Mwanzo nilikuwa simpatiii jibu Dr. Shika ni mtu wa namna gani! Ila baada kuangalia na...
  6. theearth

    Debate: Zimepoteza umaarufu?

    Shukrani kwa kutufikishia habari Mkuu, binafsi mimi sio Muislam, ila naamini kupitia hizi Debate nitajifunza kitu.
  7. theearth

    Undava Undava tu: Huku KIDUKU! Huku Iran. Iran wameliamsha Dude

    Tatizo ni kwamba, hata siku akijua kinachoendela... bado hatakubali kuwa alikuwa HAJUI. Haiwezekani wewe unapoteza muda wako kutuletea HABARI NJEMA kama hizi, halafu yeye analeta mambo ya ki DOTARD!!! MKUU, UMEFANYA WEMA KUMPUUZIA.
  8. theearth

    Undava Undava tu: Huku KIDUKU! Huku Iran. Iran wameliamsha Dude

    ALLAHU AKBAR...KABOOM[emoji573][emoji573][emoji573]
  9. theearth

    Tupeane ujanja wa kuishi jela bila kuonewa na watemi

    http://68.media.tumblr.com/f78cc4ddc0ab754bb3152dc4b4280e37/tumblr_oadcfouY2R1s4v9ino2_r1_250.gif http://25.media.tumblr.com/tumblr_m57e2srvS81qbn9g2o3_250.gif Mkuu kama unaweza kupata namba ya T-bag wa Prison Break, angeweza kukusaidia sana kwenye hili swala. Au check movie inayoitwa Money...
  10. theearth

    Mahojiano ya Msigwa na Lema KTN: Serikali iongeze msisitizo kwenye somo la Kiingereza

    Samahani sanaaa mkuu, kama tumekwazana kwa namna yoyote. Nadhani sikukuelewa vizuri hapo mwanzo. Asante
  11. theearth

    Nataka kufunga ndoa bila sherehe

    Sio mbaya, ila ukiifanya mchana kweupe ndio vizuri ili uishinde nafsi yako, JITOE KIFUNGONI. Hakuna anayekudai! kwanini ufunge ndoa usiku usiku! Wapo watu wengi wana hela ila wanafunga harusi simpo sanaaa. TUFIKIRI TOFAUTI, TUACHE MAZOEA! kufunga harusi ya gharama wakati hauna nyumba, Kiwanja...
  12. theearth

    Nataka kufunga ndoa bila sherehe

    Umesema milioni 50,000,000/- AU NIMESIKIA VIBAYA?!!! Alikuwa pedeshee ndama au pedeshee kuku?!!! Ana moyo MKUBWAAA!!! Natania lakini daaa...nilioni 50 ni hela nyingi aisee!!! Kuichoma moto kwa usiku mmoja ni HARAMU na kejeli kwa Watanzania wengi. Hata kama ilikuwa ya kuchangiwa, wasimamizi...
  13. theearth

    Nataka kufunga ndoa bila sherehe

    Upo sawa kabisaa bro, hata mimi nategemea kufanya hivyo wakati ukifika. Nitafunga ndoa ya kimya kimya/isiyokuwa na gharama kubwa. Binasfi sioni maana ya kufunga ndoa ya milioni 15-20+ kwa ajili ya kulisha na kunywesha watu! Mfano: Gharama ya ndoa ni milioni 15,000,000/- kulingana na...
  14. theearth

    Mahojiano ya Msigwa na Lema KTN: Serikali iongeze msisitizo kwenye somo la Kiingereza

    Mkuu, je ni kweli kwamba haujaelewa walichokukuwa wana maanisha? Mtangazaji kuendelea na maswali mengine, kunaonyesha kwamba wameeleweka. Kingereza ni kimoja ila kuna tofauti ya LAFUDHI na baadhi ya maneno huandikwa tofauti kulingana na sehemu/Nchi. Mfano USA na UK. Kama kilivyo Kiswahili cha...
Back
Top Bottom