ntabhaligwa
Senior Member
- Jan 2, 2017
- 141
- 104
- Thread starter
- #21
Udini ndio nini?Kumbe unazungumzia udini? Ungekua straight mkuu!
Kwa miaka mingi njia ya majadiliano ya hoja zinazokinzana maarufu kama 'debate' imekuwa ni kivutio kikubwa kwa wasikilizaji, sio tu kwa mada zinazojadiliwa bali hata kwa namna na mtindo wa uwasilishaji.
hahaha, Dr. LouisHivi wale mliokuwa mnakomaa kwenye debate mpaka macho yanakuwa mekundu kwamba Education is better than money bado mna huo msimamo au!!
Hivi wale mliokuwa mnakomaa kwenye debate mpaka macho yanakuwa mekundu kwamba Education is better than money bado mna huo msimamo au!!
Dr. L. ShikaUmeitwa Francis, jina limekuja kwa Jahaz piaZinaongeza uchumi wetu kwa kiasi gani hizo dini za kuletwa kwa majahazi?
Dini ni Imani.Huwezi hoji kwa nini Mwenyezi Mungu alifanya hiki na sio kile.Uwezo wetu wa kufikiri ni mdogo kuliko ulinganishe akili ya sisimizi na binadamu.Kwa hiyo papa aliingia mitini alikosa hoja za kuutetea ukristo