Recent content by thedaydreamer

  1. thedaydreamer

    B.Fernandes: Mtanzania aliyekataa mshahara wa Mil 425 marekani arejea Tz

    We really are fxxxed up, so pessimistic, everything black. Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
  2. thedaydreamer

    Mac regan aicopy ID ya huyu jamaa au ni coincidence tu

    Naangalia british comedy series ya miaka ya 90 inahusu jamaa anaefundisha wanafunzi mataifa tofauti kiingereza, episode mojawapo kuna mwanafunzi wa scottish anajitambulisha kwa style ya kuongea kama mac regan wa original comedy kabisa na jina pia la mwisho anasema mac regan, nashindwa kuelewa...
  3. thedaydreamer

    Video: Gaidi la ISIS laogopa kujitoa mhanga na kutimua mbio

    Manake dizaini yake ni wachache isis, ukiwapata si wa kuachiwa kirahisi wafe
  4. thedaydreamer

    Video: Gaidi la ISIS laogopa kujitoa mhanga na kutimua mbio

    Wa ivo anapenda maisha hapaswi kuuawa, anakamatwa tu atatoa siri zote
  5. thedaydreamer

    Kibiti, Pwani: Ujumbe wa kuua polisi zaidi wazidisha hofu

    Sababu zao ni za kutafuta sympathizers zaidi kuliko kingine
  6. thedaydreamer

    Nikivipi kusafiri kama kasi ya mwanga kunadhoofisha(kusimamisha)umri kwenda mbele..?

    Mpaka sasa inakadiriwa ni 5% ya universe ndo wameweza kui explore bado kuna 95% technology haijaruhusu kuielewa
  7. thedaydreamer

    Nikivipi kusafiri kama kasi ya mwanga kunadhoofisha(kusimamisha)umri kwenda mbele..?

    Gravity affects Time. Time affects production of chemicals. Chemicals affect aging.
  8. thedaydreamer

    Nikivipi kusafiri kama kasi ya mwanga kunadhoofisha(kusimamisha)umri kwenda mbele..?

    Nachojua mm gravity inplay part kubwa mtu kuzeeka that's why wazee wanajikunja fluid zikiisha kwenye spinal cord nguvu dhidi ya gravity inapungua, wanawake matiti kushuka as time goes by
  9. thedaydreamer

    Nikivipi kusafiri kama kasi ya mwanga kunadhoofisha(kusimamisha)umri kwenda mbele..?

    When the gravitational force is so strong time also tends to slow down, miller's planet jamaa walienda wakaspend masaa machache tu waliporudi wakakuta wenzao waliowaacha ni wazee tayari miaka ilipita almost 20 waliokoenda 2 seconds zilikuwa ni sawa na 20 hours walikotoka. Refer "interstellar" movie
  10. thedaydreamer

    KUMEKUCHA: Ndege Hatari za F-35 Stealth Fighter Zaondoka Marekani. Mike Pence Atuma Salam kwa Kim

    China anahofia vita ikianza yeye ndo atakuwa na mzigo wa wakimbizi kutoka north korea na si US
  11. thedaydreamer

    KUMEKUCHA: Ndege Hatari za F-35 Stealth Fighter Zaondoka Marekani. Mike Pence Atuma Salam kwa Kim

    T Kama unaongeleo iron dome technology ya wamarekani wanayotumia wa Israel kujilinda dhidi ya vikombola vya hamas haiwezi kuintercept ballistic intercontinental missile Kama unaongeleo iron dome technology ya wamarekani wanayotumia wa Israel kujilinda dhidi ya vikombola vya hamas haiwezi...
  12. thedaydreamer

    KUMEKUCHA: Ndege Hatari za F-35 Stealth Fighter Zaondoka Marekani. Mike Pence Atuma Salam kwa Kim

    Elders said everything is a nail to a hammer, well done better than well said
  13. thedaydreamer

    UDOM pitieni hapa Mungu kajibu sala zetu

    Tumieni chrome hayo majina hapo juu kwenye link yanafunguka Na unayadownload
  14. thedaydreamer

    Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

    Unaweza ukaangalia olas ingawa hawaweki figure ila tumaini au mfadhahiko unakuwepo mapema
  15. thedaydreamer

    Huyu yamemkuta yapii tenaa hapa maana hadi wenye ofice yao wanamshangaa!

    Kwa kuangalia kivuli cha miguu jamaa yupo karibu sana na meza, mkono wake wa kushoto probably umeshika meza, there is no way that lady is staring at his genitals , mnamsingizia huyo mdada
Back
Top Bottom