Nikivipi kusafiri kama kasi ya mwanga kunadhoofisha(kusimamisha)umri kwenda mbele..?

Kuhusu hapo alipoelezea mkuu boniuso ngoja nikupe mfano rahisi labda utapata mwanga.

Hicho kipimo chako cha moyo kufanya kazi unahesabu mapigo 72-100 kwa dakika(sekunde 60) at a certain space(point) in universe. Sasa fikiria huyo binadamu akaweza kumove kutoka space moja kwenda nyingine in universe(spacetime)in the same fabric. Sio kwa sekunde moja(ambayo ni mapigo 1.6.....) ila chukulia kwa millisecond au nanosecond huo moyo utadunda kwa mapigo kias gani(~aprox 0) hivo basi mtu anaweza akaenda katika space nyingine na kuexist na kurudi akiwa kapitisha muda(time) mrefu ila umri ule ule(age) kutokana na muda wa kuhama kutoka space moja kwenda nyingine kuwa ndogo mno kuweza kubadilisha umri.

Mfano wa pili. Katika dunia tu(same space) kuna uwezekano wa watu kutoka sehemu tofauti kuwa na birthday moja ila umri tofauti(kutokana na mzunguko wa dunia east na west) sasa pata picha mtu ambaye ana birthday moja na watu hao hao wawili walioko mabara tofauti na wakawa na umri tofauti at a certain point of time(their birthday eve for example). Sasa huyu mtu wa tatu tuseme hayuko mbali yupo hapo juu tu ISS(iko km 400 tu kutoka duniani) sasa mtu huyu aliondoka akiwa na umri sawa na wale jamaa wawili tayari wana umri tofauti katika siku hiyo. Hapo utajikuta una 3cariables tayari umri wa jamaa wa kwanza wa east atategemewa kutangulia kuwa mkubwa kwa namba ya miaka atafuatiwa na jamaa wa west. Na je yule aliyekua space station at that moment ana umri gani? Na je akitua east atakua na umri gani? Akitua west je?(kumbuka na kuzeeka kunachangiwa na functions za ubongo pia) na hili unaweza kulithibitisha hata kwa jet lagging tu pale unaposafiri na ndege kwenda west ya dunia huwa ubongo unahangaika kuadjust kuishi the same day in your life twice.

Sasa huo ni utangulizi(kwa huyu jamaa aliyekua 400km from earth surface. Fikiria sasa mtu huyu(teknolojia ikiwepo) aweze kusafiri zaidi ya km 400 kwenda huko mbali kwenye intergalactic planetary universe(kwa spidi ya mwanga) umbali atakaokuwepo ni hundreads million light years.

Hivyo basi akiweza kwenda na kurudi atawakuta wenzake wana umri mkubwa kuliko yeye. Hata kama kwake itakua ni blink of a second.

Duuuuh... sijui unanisoma?
wew jamaa ni mashine mimi hizi medicine zimeniharibu skuizi....nilikuwa napenda sana physics....
 
Kasome Einstein theory of relativity.Ukisoma soma baadhi ya vitabu au hata uki search google.Utaelewa zaidi.
 
Kuhusu hapo alipoelezea mkuu boniuso ngoja nikupe mfano rahisi labda utapata mwanga.

Hicho kipimo chako cha moyo kufanya kazi unahesabu mapigo 72-100 kwa dakika(sekunde 60) at a certain space(point) in universe. Sasa fikiria huyo binadamu akaweza kumove kutoka space moja kwenda nyingine in universe(spacetime)in the same fabric. Sio kwa sekunde moja(ambayo ni mapigo 1.6.....) ila chukulia kwa millisecond au nanosecond huo moyo utadunda kwa mapigo kias gani(~aprox 0) hivo basi mtu anaweza akaenda katika space nyingine na kuexist na kurudi akiwa kapitisha muda(time) mrefu ila umri ule ule(age) kutokana na muda wa kuhama kutoka space moja kwenda nyingine kuwa ndogo mno kuweza kubadilisha umri.

Mfano wa pili. Katika dunia tu(same space) kuna uwezekano wa watu kutoka sehemu tofauti kuwa na birthday moja ila umri tofauti(kutokana na mzunguko wa dunia east na west) sasa pata picha mtu ambaye ana birthday moja na watu hao hao wawili walioko mabara tofauti na wakawa na umri tofauti at a certain point of time(their birthday eve for example). Sasa huyu mtu wa tatu tuseme hayuko mbali yupo hapo juu tu ISS(iko km 400 tu kutoka duniani) sasa mtu huyu aliondoka akiwa na umri sawa na wale jamaa wawili tayari wana umri tofauti katika siku hiyo. Hapo utajikuta una 3cariables tayari umri wa jamaa wa kwanza wa east atategemewa kutangulia kuwa mkubwa kwa namba ya miaka atafuatiwa na jamaa wa west. Na je yule aliyekua space station at that moment ana umri gani? Na je akitua east atakua na umri gani? Akitua west je?(kumbuka na kuzeeka kunachangiwa na functions za ubongo pia) na hili unaweza kulithibitisha hata kwa jet lagging tu pale unaposafiri na ndege kwenda west ya dunia huwa ubongo unahangaika kuadjust kuishi the same day in your life twice.

Sasa huo ni utangulizi(kwa huyu jamaa aliyekua 400km from earth surface. Fikiria sasa mtu huyu(teknolojia ikiwepo) aweze kusafiri zaidi ya km 400 kwenda huko mbali kwenye intergalactic planetary universe(kwa spidi ya mwanga) umbali atakaokuwepo ni hundreads million light years.

Hivyo basi akiweza kwenda na kurudi atawakuta wenzake wana umri mkubwa kuliko yeye. Hata kama kwake itakua ni blink of a second.

Duuuuh... sijui unanisoma?
Nashidwa kuelewa nn ambacho mnasemea aise, nimetoka kapa
 
Wanasayansi wamegundua na wanagundua vitu vingi ila kwa theory hii mm kuamini ni ngumu..
 
Tangu saa tatu asubuhi ninaangalia kipindi cha extreme tommorow/next world cha discovery science. Kuna mambo makubwa ya kisayansi wanayaongea kama time traveller ugunduzi technology ya juu ya asimo robot, jetpol, human copy robot na ex skeleton robot.

Nimejifunza kwamba mpaka sasa machine zimetuzidi binadamu katika mathematics processing and storage, ila human intelligence bado ipo juu kuliko machine intelligence.

Mwanasayansi mmoja alikuwa anaeleza alivyoshangazwa star fish robot ilivyokuwa inajifunza motion zake yenyewe ingawa yeye ndio aliyoitengeneza.

Kifupi wanasema machine miaka ya baadae zinaweza kuwa our greatest future enermy na zinaweza kutu destroy ingawa machine can be part of human body to increase our capabilities.

Katika vitu vyote nilivyovitaja hii time travell ni theory tuu lakini vingine vipo ingawa technological trend inaonesha inaweza Kuwa halisi miaka ya baadae.
 
space “contracts” and time “dilates” (or slows). Some of the motion through space can be thought of as being "diverted" into motion through time (and vice versa), in much the same way as a car travelling north-west diverts some of its northwards motion towards the west. Thus, the dimensions of space and time affect each other, and both space and time are therefore relative concepts, with only the unvarying speed of light providing the bedrock on which the universe is built. This revolutionary idea flew in the face of the long-held notion of simultaneity (the idea that events that appear to happen at the same time for one person should appear to happen at the same time for everyone in the universe) and suggested that it was impossible to say in an absolute sense whether two events occurred at the same time if those events were separated in space.


Thus, one person’s interval of space is not the same as another person’s, and time runs at different rates for different observers travelling at different speeds. To some extent, the faster you go, the slower you age and the slimmer you are! The reason this is not obvious in everyday situations is that the differences at everyday speeds are infinitesimally small, and only really become apparent at speeds approaching that of light itself (“relativistic” speeds). The closer the speed of an objects approaches to the speed of light, the more warped lengths and time intervals become
C & P hope it is helpfully
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom