Habari wadau,
Rejea kichwa cha thread kama kinavyojieleza,
Mwezi wa sita kuna kazi ya ujenzi nategemea kuianza pale Geita, kwa kuwa mimi si mzoefu sana maeneo ya Kanda ya Ziwa, ningependa kufahamu kuhusu upatikanaji wa vifaa vya ujenzi hasa mabati ya IT5 na bei zake, kama zitakuwa ghali...
Niaje friends?
Kuna wadada nawafahamu kwa miezi kadhaa kuwa ni marafiki, lakini majuzi wamezinguana na kutoana ngeu mpaka mmoja kumtimua nyumbani kwake kisa, "DUSHE".
Inasemekana hawa girls ni marafiki tangia wakiwa wadogo na wamesoma shule moja na darasa moja, baada ya kumaliza elimu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.