TheBuilder
JF-Expert Member
- Apr 21, 2014
- 237
- 212
Hivi mnatufikiriaje wanawake wa JF kwamba sisi ni wabaya sana au?
Wapo wazuri zaidi ya huyo, sijawahi kuwaona ila naamini hivyo sababu hapa ni kama mtaani kuna wazuri pia.
JF kama mtaani tu huku kuna wanawake wa kila aina.
Jf wanawake wazuri wapo wengi, baadhi yao nimeshakutana nao. Huyu hana uzuri wowote, wakawaida sana.asa ana uzuri gani
Demu wa kawaida kabisa mm mwenyewe hamifikii kabisa hata ¼
mleta uzi unataka kututoa mapovu anzisheni shindano la mrembo wa JF muone