Recent content by the_veil

  1. T

    Life as a bachelor, shouldn't be this hard

    Hahaha kidhungu bhana, wachangiaji wachache [emoji28][emoji28]
  2. T

    Hamna akili kweli, kwamba UKIMWI Haupo?

    Mbona umekua mkali sana mkuu! Design kama biti vile.. Ungeshauri Watu waache ngono tu mkuu [emoji3]
  3. T

    The benefits of being a mistress

    Kwa age uliyopo bado hujajua ugumu wa Kuwa single, Ngoja ufike late 40s Ndo utaisoma namba vizuri!! Nyambafu!!!
  4. T

    Mume wangu anatoka kimapenzi na mama yangu, nimeona meseji za mapenzi kwenye simu ya mume wangu

    Jf kuna raha sana! Story Za uongo uongo nyingiiiii [emoji57][emoji57]
  5. T

    Natafuta mrembo wa Kinyarwanda, kwa matumizi ya ndoa

    Ndio mkuu, Sio wa hit and run
  6. T

    Natafuta mrembo wa Kinyarwanda, kwa matumizi ya ndoa

    Wakuu asalam aleykum Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Ni muda mrefu hawa watoto wa kinyarwanda wamekua wakichanganya mtima wangu. Yaan nikiwaona roho yangu inakufa ganzi kabsa.., naomba Kama wapo humu wani pm. Awe mrefu, age: 20-25, elimu level yoyote...
  7. T

    Kama huyu ndio mkeo utachukua hatua gani?

    Samahani mkuu Mimi natumia iPhone nimejaribu ku edit Kama ulivyomshauri chief hapo juu imegoma, au kuna app nidownload?
  8. T

    Mengi: Kwanini nimemuoa K-lynn

    Mzee anajishtukia tu!
  9. T

    KUB, Mbowe auchambua utawala wa CCM chini ya Magufuli: Umejaa uvunjifu wa Katiba, Sheria

    Mkuu kula like zangu Za kutosha, umeongea points Sana
  10. T

    Le Baharia amuonya Diva Loveness

    Duh Leo umemtoa knockout mtu hapa kula like zangu Za kutosha
  11. T

    Wimbi kubwa la wanawake wengi kuwa na watoto bila kuwa na baba wa mtoto

    Nadhan wanawake wengi hawajui Kuwa kuna tatizo kubwa sana Kuwa single mothers hasa pale ambapo umri umeenda.,, mfano hai Ni mama yangu mzazi amekua mpweke sana baada ya Mimi kukua hadi namuonea huruma sometimes, Na nakiri siwez kumpa attention ambayo angepewa Na mume wake. Naombeni single...
Back
Top Bottom