Kama huyu ndio mkeo utachukua hatua gani?

Kama huyu ndio mkeo utachukua hatua gani?

ndo mana mwenyewe akasema amekosea...kajichanganya kutuma kwenye group na ndo mana huyo jamaa mwingine anamshangaa..
Ha ha ha ha ha duh anataka akakamuliwe asubuhi asubuhi, mdogo ake huyu....
IMG-20160416-WA0011.jpg
 
Kuoa kupo palepale, wacha atiwe tu maana me mwenyewe sijatulia, cha msingi nisijue
 
Huyo sio mke asilani,,hizo ni chart za magroup.Pia kwa mke asubuhi unakuta ameshashughulikiwa alfajiri hana uwezo wa kutaka gemu saa tatu labda awe na gonorrhea.
 
Nashukuru kwa kuligundua mapema maana huyu jamaa anaonekana alikurupukaa kuleta ujinga huuu bila kujua
Lakin huwezi jua labda walikuwa wamejiunga kwenye group moja, then one of their friends aliyekuwa kimya akachukua screenshot na kumtumia!! Uongo mwingine uwe unajipanga, kwani lazima kutunga storry!!!
 
huyo atakuwa anatembelea sisi kwa sisi au kwa BROTHER Y au sio chinga maana wa migomigo huwa hawaandiki sms wao ni ''mi sijaalaa''
 
Ushauri wa bule kwa wenye wake,,
Hakikisha asubuhi unachoronga sana dyudyu ya wife wako ili kuondoa kitu hiyo.
 
ndo mana mwenyewe akasema amekosea...kajichanganya kutuma kwenye group na ndo mana huyo jamaa mwingine anamshangaa..
Sasa kama humo kwenye hilo group kuna wambea si wanamfikishia mumewe huo ujinga.....!!!


Ndoa zenu hizi ni majanga tupu.....
 
Huyo sio mke asilani,,hizo ni chart za magroup.Pia kwa mke asubuhi unakuta ameshashughulikiwa alfajiri hana uwezo wa kutaka gemu saa tatu labda awe na gonorrhea.
Mkuu wanaume wana mishe tofauti tofauti yaweza kuwa mume anaamka saa 10 kuwahi kazi/kibarua. Anarudi saa 4 usiku akiwa amechoka taabani. Usiku anamgusa tu mkewe. Asubuhi wala hajawahi kuwaza kumpa lishe mkewe.
 
Ha ha ha noma kweli,unapigika job asubuhi,wife anachapwa maeneo asubuhi mweee...
 
Mkuu wanaume wana mishe tofauti tofauti yaweza kuwa mume anaamka saa 10 kuwahi kazi/kibarua. Anarudi saa 4 usiku akiwa amechoka taabani. Usiku anamgusa tu mkewe. Asubuhi wala hajawahi kuwaza kumpa lishe mkewe.
Hio ni hatari kwa maisha ya ndoa.Kama mtu ana mke na anaamkaga saa kumi alfajiri inabidi awahi kurudi home awe na mkewe na siku za off atulie na mkewe,,kugongewa atasikia pembeni tu,,,la sivyo ana hatari sana.
 
Back
Top Bottom