Recent content by The_Poxs

  1. The_Poxs

    Mambo 10 niliyojifunza Zanzibar

    NIMEPENDA ANALYSIS YAKO INGAWAJE KUNA MAMBO HAYAPO SAWA Mfano:- Kuhusu wabongo wanaofanya kazi hotelin wanajiuza sidhan kama ni kwel hii!!
  2. The_Poxs

    Msaada: Je, niandae Affidavity au Deed Poll?

    Asante sana kwa msaada mzuri sana nimekuelewa kaka[emoji120]
  3. The_Poxs

    Msaada: Je, niandae Affidavity au Deed Poll?

    Hahitaji kujua nini natakiwa kuandaa kati ya Deed Poll au Affidavity? Mimi jina langu limekosewa herufi moja na haibadilishi maana ya jina. Badala ya Mohamed, likakosewa kwa kuongezewa herufi “i” yaani Mohamedi Je, nini nifanye?
  4. The_Poxs

    Uongozi wa Simba SC mmefanya Makosa makubwa sana Kukubali Mechi na Gendarmerie ichezwe Saa 4 Usiku na si Saa 1 Usiku

    60k ndo capacity ya uwanja je ww kwel uliona uwanja umejaaa?!
  5. The_Poxs

    Waziri wa Mambo ya Ndani, Eng. Masauni fuatilia pesa za makusanyo ya Wiki ya Nenda kwa Usalama. Zimepigwa?

    ASANTE KIJANA SAWA NITALIFANYIA KAZI SWALA LAKO[emoji1319]
  6. The_Poxs

    Mchango na uzoefu wenu kwenye Discovery 4 5.0L V8 (Mawazo)

    Inategemea na ni aud gan unaisemea zipo audi za kazi google
  7. The_Poxs

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    USIKU MWEMA JF[emoji42]
Back
Top Bottom