Nakuunga mkono mkuu watu wazima kwanza sio wasumbufu wanajali na wanaupendo wa dhati sio kama hawa agement wenzetu apointment saa 8 mchana utashanga kuna ratiba zinaingia katikati ambozo kimsingi hazieleweki.
Hili jambo hali hitaji mtaa lumumba wala mtaa wa ufipa
kinachohitajika ni kuunganisha hii mitaa tuwe pamoja kuipata haki yetu iliyopotea kwa muda mrefu.
kila mwanameke / mwanaume anakua na type yake ya maisha kwa mtazamo wa jambo analokua analisimamia katika mzunguko wa maisha yake.
Giggy ana type zake na watu wa aina yake anatakiwa kuwa nao.......
Msando naye ana type zake na watu waina yake anatakiwa kuwanao ......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.