Recent content by the_molwa

  1. the_molwa

    Napenda wanawake watu wazima

    Nakuunga mkono mkuu watu wazima kwanza sio wasumbufu wanajali na wanaupendo wa dhati sio kama hawa agement wenzetu apointment saa 8 mchana utashanga kuna ratiba zinaingia katikati ambozo kimsingi hazieleweki.
  2. the_molwa

    Diamond awatolea mapovu wanaomsakama Zari

    NGOJA NITAFUTE UCHOCHORO NI NUSE CHUPI YANGU.
  3. the_molwa

    ACACIA: Hatujafikia makubaliano yoyote ya kuilipa Tanzania

    Hili jambo hali hitaji mtaa lumumba wala mtaa wa ufipa kinachohitajika ni kuunganisha hii mitaa tuwe pamoja kuipata haki yetu iliyopotea kwa muda mrefu.
  4. the_molwa

    Sababu tano(5) kwanini unapata pesa lakini huna maendeleo

    Sasa nimefunguka mawazo kumbe kipengele namba 3 na 5 kina nidumazaaa kimaendeleo.
  5. the_molwa

    Sad: Zari, Diamond waipasua familia ya Ivan, Baba Ivan aongea kwa uchungu

    kunauseme unasema ukisikia akili za kuambiwa changanya na zako... tambua huyo alie leta hiyo habari (MANGE) kambiwa tu.
  6. the_molwa

    Prof. Muhongo kutoka si suluhisho: Tatizo mikataba ikoje?

    kuna useme wa kiswahili unasema kumchinya kobe taimingi sasa tusubiri tuone je kobe naye atachinjwa.
  7. the_molwa

    Prof. Muhongo kutoka si suluhisho: Tatizo mikataba ikoje?

    Mikataba mibovu ndio iliyotufikisha hapa na hakuna kitu kingine.
  8. the_molwa

    Kuchepuka raha

    Karibu mgeni wetu wa kudumu nyumbani HIV
  9. the_molwa

    Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

    kila mwanameke / mwanaume anakua na type yake ya maisha kwa mtazamo wa jambo analokua analisimamia katika mzunguko wa maisha yake. Giggy ana type zake na watu wa aina yake anatakiwa kuwa nao....... Msando naye ana type zake na watu waina yake anatakiwa kuwanao ......
  10. the_molwa

    TFF tusomeeni upesi sana hiyo barua iliyofika mchana huu kwa DHL ili Wanasimba tujimwage mitaani

    mtoa habari anaseme ni habari chini ya kapeti kuwa barua imefika kisha anadai wapewe ubingwa kipi ulicho ambiwa kuhusu hiyo barua
  11. the_molwa

    Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

    kama Real Madrid na Barcelona anacheza hata ulete wapishi wa Hotel ya five star nyumbani hapakaliki..
Back
Top Bottom