nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
muhongo alibebwa sana na jpm kwa kweli.....
Sasa hawa waliotufikisha hapa kwenye hii mikataba tunawafanyaje? Si hata wanyongweMikataba mibovu ndio iliyotufikisha hapa na hakuna kitu kingine.
Ubavu huo sijui km anao make hiyo mikataba nimibovu BWM alifunga kila konaKwa nini asiung
Kwa nini asiunde kamati kuangalia jinsi mikataba hii ilivyo, na ushauri wa kitalamu ili ivunjwe
Funika kombeNaona lazima apatikane mbuzi wa kafara
Mkuu hujaelewa saga zima la mchanga wa dhahabu kama ripoti ilivyoainisha leo. Prof. Muhongo hawajibishwi kwa sababu aliingia mikataba tata, bali kwa sababu alishindwa kusimamia au kuharakisha zoezi la ununuzi wa Smelter kama ilivyoagizwa tangu 2009.Tatizo sio kupimwa akili..!! Tatizo ni uhalisia wa mikataba iliyopo kwenye madini..! Prof ulitaka aibadilishe yeye?
kuna useme wa kiswahili unasema kumchinya kobe taimingi sasa tusubiri tuone je kobe naye atachinjwa.Sasa hawa waliotufikisha hapa kwenye hii mikataba tunawafanyaje? Si hata wanyongwe
Tatizo sio kupimwa akili..!! Tatizo ni uhalisia wa mikataba iliyopo kwenye madini..! Prof ulitaka aibadilishe yeye?
Hata aje binadamu mwenye akili kupita wote duniani kuongoza wizara ya Nishati na madini,haiwezi hata kidogo.ivi kwa mfano mm nauliza baada ya kutumbua hao waheshimiwa tutaweza kujinunulia izo mashine za kuchakata na kuchambua madini?ni ghali na zitatumia umeme mwingi hatuweziiiiiiiii.tunawaumbua hao wazungu,accacia na wengine but mwisho wa siku tunaenda kwao kuomba misaada.yaan sisi bado nchi changa tunawategemea hao hao wazungu kwa karibu kila kitu so ilibidi tuwe wapole tupunguze jeuriNa ameshapatikana ili kukwepa lawama.
Lakin cha ajabu.. hali itaendelea kuwa vile vile hata kama watamchagua malaika kutoka mbinguni
Nipo kaka, niliamua kutoka Tanzania nipo ughaibuni nasaka tongePole kwa kutumbuliwa ulipotea humu sasa naona umeamua kurudi tena maskani karibu sana
Mbaya zaidi kocha wa sasa alikuwa mchezaji piaUkweli ni kwamba viongozi wa CCM waliokuwa wamepewa dhamana ya kuongoza nchi hii kwa miaka mingi pamoja na wabuge wa CCM ambao wamekuwa wakipitisha sheria za hovyo hovyo kwa mtindo wa ndioooo wote wanastahili kuwajibika na watendaji waliohusika wanastahili kwenda jela na si kupewa nafasi ya kujirekebisha kama wanavyotaka kutuhadaa sasa.
Inakera na kuudhi sana kuona watu walioshiriki katika hizi serikali eti mambo haya hawakuyaona ila leo hii ndio wanashituka na wanataka tuwaunge mkono wao na chama chao.Kiukweli waliohusika wote walipaswa kuwa jela na si kupewa nafasi ya kujirekebisha vinginevyo hata wafungwa wote walioko magerezani nao waachiwe wajirekebishe wakiwa uraiani.
Jambo baya kabisa na la kusikitisha ni wapinzani waliokuwa wakipinga upitishiwaji wa sheria hizi za hovyo hovyo Bungeni walivyokuwa wakipuuzwa na watu ambao leo hii eti wamegeuka wema.Huu kwakweli ni unafiki wa kiwango cha juu sana.
Kwa mfano,hata Mbowe Alhamisi iliyopita alimuuliza Waziri Mkuu Bungeni juu ya utekelezaji wa maazimio mbambali ya Bunge yaliyowasilishwa serikali lakini majibu
aliopewa hayaridhishi kabisa alafu eti ndio niamimi wamepatikana watu wa kukomboa Taifa hili.
Hata leo hii kuna maamuzi yanafanywa bila hata Bunge kushirikishwa alafu kesho mambo yakiharibika atoke mwingine ajidae kusafisha nae tumpigie makofi.Sijui yumelogwa!!
Miswaada hii inapita kwenye cabinet wanakaa wanaijadili na kisha wanaileta Bungeni na huko wanajadili na kuitetea kwa kila hali kuhakikisha inapitishwa na baadae Raisi kuisaini na kuwa sheria.
Sheria zikishapitishwa na kuanza kutumika ndipo matatizo yanaanza kujitokeza na wapinzani wanaendelea kuhoji mapungufu ya sheria hizo Bungeni na nje ya Bunge lakini wanapuuzwa.
Leo hii tunavuna tulichopanda na baada ya madhara ya muda mrefu,watu wale wale kutoka chama kile kile ndio sasa wanashituka na kutaka tuwaunge mkono.This is joke!
Kwa kifupi CCM haiwezi kukwepa lawama katika yote haya na waliohisika wote wanastahili kuwa jela na si kupewa nafasi ya kujirekebisha wakiwa uraiani.
Hawa watu wangekuwa waungwana kwanza wangetuomba radhi watanzania wote kabla ya kutaka tuwaunge mkono.
Cha ajabu katika hali hii watu hawa wanatuambia Mahakama ya Mafisadi imekosa watu.Kweli!!
Nimalizie kwa kusema tangu nianze kupiga kura hiki chama sijawahi hata kuchagua diwani wake na kamwe sitofanya hivyo.
Au tuvunje mikataba tulipe tu...rais afahamu akipelekwa katika international court kwa kuingilia mkataba litakua janga kuu.
tazama wale samaki waliokamatwa tukagaiwa what happened.
kampuni Za wazungu zinajali sana mikataba, kuvunja au kutotekeleza mkataba Na pia kudestroy brand ionekane km wanaiba ilihali wameingia mkataba Na kutekeleza huo mikataba we r going to pay.
issue nikuwafikisha mahakamani walioiingia hiyo mikataba Na sio kumfanya victim aliepewa mikataba.
ni muda tu, let us wait.