Recent content by THE WATCHER

  1. T

    Picha: Wasanii walipokula chakula cha jioni ikulu ndogo Dodoma na rais Kikwete

    Du mzee j k nyerere alikuwa na ule msemo wa "ikulu ni mahali patakatifu" j k wa leo kapafanya mahali pa kujivinjari na mateja, vijana wasio na nidhamu hata ya mavazi, shame on him.
  2. T

    Nchemba: Serikali kupunguza misamaha ya kodi, kodi kwa wafanyakazi na kudhibiti ukwepaji kodi

    Nahisi uchungu wa watz, lkn sioni jitihada za watawala ktk kutatua matatizo ya kimsingi.
  3. T

    Kwa staili hii Pinda hana kazi

    Sasa wanamsaidia kazi gani? Kupingana na maamuzi ya kiongozi aliowapa vyeo? Nyambaf 100%.
  4. T

    Ni kabila gani hupendelea msosi huu

    Hayo ni majimbi, kwetu huchemshwa na maji kiasi bila kusahau dawa ya jiko na hufunikwa na jani la mgomba, baada ya dk 15 pakuwa, chai ni muhimu katika mchakato, karibu kwa mesa.
  5. T

    Kigogo mwingine CHADEMA ajiunga na CCM leo

    Ahsante kwa kigogo kutujulisha kuwa ccm ndo kampuni inayolipa, safari njema mamluki sisi mamba tunasonga, mvua imemuumbua kenge tutakutana mwakani.
  6. T

    Ipe jina hii bendi

    Ipo ck jaz band
  7. T

    Tuhuma dhidi ya Balozi wa UK: Uhusiano wa Kidiplomasia kati ya Uingereza na Tanzania Mashakani

    Haya mafisadi kazi yao kubwa ni wizi na uropokaji, sasa waingereza kwa mara nyingine (baada ya vijisenti vya rada) wanatutoa tongotongo juu ya upuuzi wanaotufanyia wadhalimu weusi wenzetu, wanaanza kuropoka bungeni.
  8. T

    Makinda: Watu wana midomo iliyochongoka muda wote!

    Ndo wanawake ambao wana upeo mkubwa ktk nchi hii, na nafasi wamepewa, kidumu chama cha manunda.
  9. T

    Hivi huko Dar es Salaam kuna mbwai? Nataka nije

    Karibu kwetu popobawa tule bata.
  10. T

    TBC1 wameshusha tena signal za madishi?

    Ni wapi huko, maana dar ipo poa na ni week ya pili tbc2 ipo hewani fri of chj, ila sijaelewa kama ndo promo ya wc (kombe la dunia) au la!!
  11. T

    Rwanda yamkataa Balozi wa Tanzania

    kunta na wewe usijidanganye, huo uzalendo na umoja viluwepo zamani, kwa sasa tunaishi navyo kama imani tu, uzalendo gani ktk hali ngumu kama hii, ikitokea kikanuka utalikumbuka hili.
  12. T

    Ujumbe umefika

    atakula kote vilevile.
  13. T

    Wapi nitaangalia mechi hizi leo usiku?

    Karibu banda umiza,kwa tumbo.
  14. T

    Polisi Manispaa ya Kinondoni waanza operation safisha mateja Dar

    Hii nchi maajabu ni mengi, hao polisi waende magogoni mbona list ipo kwa prsdt ya hao mapapa, badala ya kudili na sources wao wanadili na outcomes, nawaunga mkono mahabusu waliovua nguo arusha kuonyesha ubovv wa mifumo yetu
  15. T

    Mke wangu hapendi kushiriki tendo la ndoa

    Chepuka halafu njia (ulipochepukia) ikiwa mukide ifanye njia kuu, kuna ugumu gani hapo.
Back
Top Bottom