Kwanini mkipewa habari njema kama hii huwa mnapata kiwewe.,wameiona njia ya Uzima nao wameamua kuifuata.,nami kazi yangu ni kulifikisha neno lenye Uhai na kupinga unafiki.
Kila aliyejitambua na kuuona ukweli nitamkaribisha ndani ya Chama Cha Mapinduzi, chama pekee cha siasa kuwahi kutokea katika nchi ya Tanzania.
Kamtafute kwanza baba yako ndio udandie siasa umeachwa kama kile kivalio huna sauti hutambuliwi unakuwa kama nzi pole sana kijana Mama yako anamlisha babayo kwa posho ya udiwani wa CDM kafundishe wanafunzi huko acha kutumika kama taulo la usikuKwanini mkipewa habari njema kama hii huwa mnapata kiwewe.,wameiona njia ya Uzima nao wameamua kuifuata.,nami kazi yangu ni kulifikisha neno lenye Uhai na kupinga unafiki.
Kila aliyejitambua na kuuona ukweli nitamkaribisha ndani ya Chama Cha Mapinduzi, chama pekee cha siasa kuwahi kutokea katika nchi ya Tanzania.
Kweli akili yako ni fupi. Hivi maana ya kigogo unaijua kweli. Vigogo ni Dr Slaa, F Mboye, Lissu, Mnyika, wenje, Mdee, na wengine wengi na sio huyo kinyangarika uliyemtaja.Katibu Mwenezi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wa wilaya ya Tandahimba, Hamza Salum amejivua uanachama wake na vyeo vyake vyote katika Chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) sambamba na kiongozi mwingine ambaye ni Katibu wa CHADEMA wa Wilaya hiyo ya Tandahimba Ndugu Jafari Hassan maarufu kama "mwarobaini" aliyehamia CCM pia amesema;
"Kubwa lililonifanya nije CCM ni kwamba nimeitumikia kampuni ya watu kwa muda mrefu sana bila mimi kupata faida yoyote.,tumeona yaliyowakuta wenzetu ambao nao wamekitumikia chama hiko mpaka kufa kwao na Chama kimeshindwa hata kuwazika achilia mbali kuwauguza"
Hamza amepokewa na mjumbe wa kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi alhaji Abdallah Bulembo ambaye yuko wilayani Tandahimba katika ziara yake ya mikoa ya kusini inayoendelea sasa katika Mkoa wa Mtwara.
Huu ni muendelezo wa viongozi wakubwa wa Chama hicho kujiuzulu na kujiunga na CCM kwa madai mbalimbali, mengi yakiwa ni matendo maovu na unafiki uliokithiri wa Viongozi wa juu wa Chama hicho.
Binafsi nawakaribisha viongozi hao wa Chadema ndani ya Chama Cha Mapinduzi kwani mimi binafsi niliyaona hayo ambayo wanayaona sasa mapema mno. Haiwezekani Chama kinachoongozwa kwa misingi ya fitina na uzandiki kikaweza kubaki na viongozi ama wanachama ambao hawaamini katika misingi hiyo.
Binafsi, namshukuru Mungu kwa kuendelea kuwaonyesha njia watanzania na kuyafichua yale yaliyokuwa yakifanywa kwa siri na chuki zilizokuwa mioyoni mwao kiasi sasa wameziweka dhahiri na kuwabainishia watanzania walio wengi rangi halisi ya Viongozi hao wa Chadema.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
ni kawaida yenu mkishindwa hoja mnaanza kutoa matusi. Haisaidii kitu watu wameshachoka kuwa misukule, wameamka na kuugundua Ukweli.Weka Picha ya tukio hilo Mkuu Mtela Mwampamba, kwani hivi sasa tumewashitukia baada ya kugundua kwamba mnatumiwa na CCM kama Condom ya "Twanga pepeta". Pia upunguze kuchanga viroba na konyagi ndani ya gongo, utaendelea kulewa zaidi.
Kwa hiyo CCM wanaruhusa ya kufanya mikutano Mtwara na Lindi wakati serikali iliipiga marufuku!Katibu Mwenezi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wa wilaya ya Tandahimba, Hamza Salum amejivua uanachama wake na vyeo vyake vyote katika Chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) sambamba na kiongozi mwingine ambaye ni Katibu wa CHADEMA wa Wilaya hiyo ya Tandahimba Ndugu Jafari Hassan maarufu kama "mwarobaini" aliyehamia CCM pia amesema;
"Kubwa lililonifanya nije CCM ni kwamba nimeitumikia kampuni ya watu kwa muda mrefu sana bila mimi kupata faida yoyote.,tumeona yaliyowakuta wenzetu ambao nao wamekitumikia chama hiko mpaka kufa kwao na Chama kimeshindwa hata kuwazika achilia mbali kuwauguza"
Hamza amepokewa na mjumbe wa kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi alhaji Abdallah Bulembo ambaye yuko wilayani Tandahimba katika ziara yake ya mikoa ya kusini inayoendelea sasa katika Mkoa wa Mtwara.
Huu ni muendelezo wa viongozi wakubwa wa Chama hicho kujiuzulu na kujiunga na CCM kwa madai mbalimbali, mengi yakiwa ni matendo maovu na unafiki uliokithiri wa Viongozi wa juu wa Chama hicho.
Binafsi nawakaribisha viongozi hao wa Chadema ndani ya Chama Cha Mapinduzi kwani mimi binafsi niliyaona hayo ambayo wanayaona sasa mapema mno. Haiwezekani Chama kinachoongozwa kwa misingi ya fitina na uzandiki kikaweza kubaki na viongozi ama wanachama ambao hawaamini katika misingi hiyo.
Binafsi, namshukuru Mungu kwa kuendelea kuwaonyesha njia watanzania na kuyafichua yale yaliyokuwa yakifanywa kwa siri na chuki zilizokuwa mioyoni mwao kiasi sasa wameziweka dhahiri na kuwabainishia watanzania walio wengi rangi halisi ya Viongozi hao wa Chadema.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Vipi mama yako mzazi anachelewaje kuiona hiyo neema?Kwanini mkipewa habari njema kama hii huwa mnapata kiwewe.,wameiona njia ya Uzima nao wameamua kuifuata.,nami kazi yangu ni kulifikisha neno lenye Uhai na kupinga unafiki.
Kila aliyejitambua na kuuona ukweli nitamkaribisha ndani ya Chama Cha Mapinduzi, chama pekee cha siasa kuwahi kutokea katika nchi ya Tanzania.
Hata siku akina wenje wakiamua kurudi CCM mtasema nao sio chochote..,chadema ni mradi wa familia ya watu, nyie wachumia ndumbo endeleeni kujifariji.Kweli akili yako ni fupi. Hivi maana ya kigogo unaijua kweli. Vigogo ni Dr Slaa, F Mboye, Lissu, Mnyika, wenje, Mdee, na wengine wengi na sio huyo kinyangarika uliyemtaja.
Mtela,Kwanini mkipewa habari njema kama hii huwa mnapata kiwewe.,wameiona njia ya Uzima nao wameamua kuifuata.,nami kazi yangu ni kulifikisha neno lenye Uhai na kupinga unafiki.
Kila aliyejitambua na kuuona ukweli nitamkaribisha ndani ya Chama Cha Mapinduzi, chama pekee cha siasa kuwahi kutokea katika nchi ya Tanzania.
maswali yako sio ya msingi.,hivyo kwa heshima na taadhima sitayajibu.
Mtela,
njia ya uzima ni njia gani hiyo wakati wanafunzi wanakaa chini,dawa hospitalini hakuna,escrow account inatafunwa,inlation iko juu,shillingi imeporoka.
Vipi mama yako mzazi anachelewaje kuiona hiyo neema?
Nenda kachukue buku 7 zako.Kwanini mkipewa habari njema kama hii huwa mnapata kiwewe.,wameiona njia ya Uzima nao wameamua kuifuata.,nami kazi yangu ni kulifikisha neno lenye Uhai na kupinga unafiki.
Kila aliyejitambua na kuuona ukweli nitamkaribisha ndani ya Chama Cha Mapinduzi, chama pekee cha siasa kuwahi kutokea katika nchi ya Tanzania.
Nini maana ya Kigogo? Kila Mwanasiasa ni Kigogo , na wewe ni Kigogo huko CCM ?
Katibu Mwenezi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wa wilaya ya Tandahimba, Hamza Salum amejivua uanachama wake na vyeo vyake vyote katika Chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) sambamba na kiongozi mwingine ambaye ni Katibu wa CHADEMA wa Wilaya hiyo ya Tandahimba Ndugu Jafari Hassan maarufu kama "mwarobaini" aliyehamia CCM pia amesema;
"Kubwa lililonifanya nije CCM ni kwamba nimeitumikia kampuni ya watu kwa muda mrefu sana bila mimi kupata faida yoyote.,tumeona yaliyowakuta wenzetu ambao nao wamekitumikia chama hiko mpaka kufa kwao na Chama kimeshindwa hata kuwazika achilia mbali kuwauguza"
Hamza amepokewa na mjumbe wa kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi alhaji Abdallah Bulembo ambaye yuko wilayani Tandahimba katika ziara yake ya mikoa ya kusini inayoendelea sasa katika Mkoa wa Mtwara.
Huu ni muendelezo wa viongozi wakubwa wa Chama hicho kujiuzulu na kujiunga na CCM kwa madai mbalimbali, mengi yakiwa ni matendo maovu na unafiki uliokithiri wa Viongozi wa juu wa Chama hicho.
Binafsi nawakaribisha viongozi hao wa Chadema ndani ya Chama Cha Mapinduzi kwani mimi binafsi niliyaona hayo ambayo wanayaona sasa mapema mno. Haiwezekani Chama kinachoongozwa kwa misingi ya fitina na uzandiki kikaweza kubaki na viongozi ama wanachama ambao hawaamini katika misingi hiyo.
Binafsi, namshukuru Mungu kwa kuendelea kuwaonyesha njia watanzania na kuyafichua yale yaliyokuwa yakifanywa kwa siri na chuki zilizokuwa mioyoni mwao kiasi sasa wameziweka dhahiri na kuwabainishia watanzania walio wengi rangi halisi ya Viongozi hao wa Chadema.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Hamza amepokewa na mjumbe wa kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi alhaji Abdallah Bulembo ambaye yuko wilayani Tandahimba katika ziara yake ya mikoa ya kusini inayoendelea sasa katika Mkoa wa Mtwara.