Polisi Manispaa ya Kinondoni waanza operation safisha mateja Dar

Polisi Manispaa ya Kinondoni waanza operation safisha mateja Dar

nosocomial

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2013
Posts
404
Reaction score
45
Katika kile kinachodaiwa kuwa teja ni mdokozi mzuri sana wa mali za watu leo asubuhi nimeshuhudia mateja wakisombwa na magari ya polisi eneo la magomeni, huku watu wa karibu wakisema ni kutokana nw kuzagaa kwa ndugu hao maeneo hayo na kuvuta madawa hadharani.

Niliwashuhudia pia wengine wakikimbizwa na kutumbukia kwenye mto msimbazi wakidhani polisi watawaacha lakini kumbe polisi nao waligundua hilo na kwa kushirikiana na wananchi waliwafuatilia humohumo na kuwafunga pingu tayari kwenda kituoni, sijui nn kinaendelea huko kituoni ila operation ni kali na polisi wako na silaha za moto.

Cha kunishangaza ni huyu teja hapo chini ambapo wakqti wenzao wanakamatwa mita mia tano toka alipo yeye alikuwa akipata heroine polepole maeneo ya fire.

Tulipomshtua duuuu aljkuwa mkali sanw na tuliambulia matusi.

MY TAKE: Mateja wako sehemu nyingi sio eneo moja tu mseme tumemaliza kazi go around the city and u will see.
 
Ingekuwa heri waende kwa Mheshimiwa,awape yale majina ya wauzaji wawafungulie mashtaka
 
Sasa mzee nosocomial infection mbona picha ya matatizo badala ya teja????!!!!
Mlikuwa mnamstua akimbie wakati mwenzenu kajitegesha akamatwe akapumzike ndio maana kawapa maneno mazito ya ncha kali
 
Last edited by a moderator:
Waende pale Manyanya na basi la magereza kabisa
 
Mm nadhani wangekuwa sahihi kama wangewashughurikia kwanza wale wote ambao wamesababisha hao vijana kwa wazee kuwa ktk hali hiyo ya uteja maana kama chanzo bado kipo naona wataendelea kuwepo tu hao mateja
 
Madanguro hawayajui, hao ni hiari yao je vibinti vinavyotumikishwa kilazima majumbani je? chukua hatua,saa mbaya hii!!
 
Waende pale Manyanya na basi la magereza kabisa
hapo manyanya wanauza sembe kama wanalipa kodi wauzaji hawana wasi kabisa.....alafu njiaaa kova ndy anapitaaa kila siku asubuhi....
 
hapo manyanya wanauza sembe kama wanalipa kodi wauzaji hawana wasi kabisa.....alafu njiaaa kova ndy anapitaaa kila siku asubuhi....

Yaani, people zina lala hapo hapo nje, zinaamkia sembe,zinashindia sembe.
 
majibu wanazo wqnawaandama vifaranga wakati kuku na jogoo wapo macho.
 
Pale magomeni mapipa karibu na nyumba ya kulala wageni bondeni ya chini,wamejaa mateja wamechoka vibaya na wapo wengi sijui uongozi upo wapi?
 
sema pale manyanya sugu kweli.......kna cku nlipitaaa nkaonaaa matejaa wngi nkajuaa mandamano kmbe wakat huo sembe iliadimikaaaaa basi matejaaa walikuaaaa wengi sanaaa.....wanatafuta dawa
 
nasikitika kukuta nguvu ya taifa inateketea kwa unga wako wapi wauzaji?
 
Kwasababu serikali imekalia majina papa ya wauza unga, basi wajenge rehab kwa kuanzia kwa hizi wilaya tatu. Kinondoni, Ilala ma Temeke, kuliko kuwakamata tu na chanzo wanakijua wao.
 
Waende pale Manyanya na basi la magereza kabisa

Yap pale kwa manyanya wamesheheni tele. Yaani pale ni kukusanya tu. Lakini je hawa mateja ndio wanaopashwa kukamatwa? Je polisi hawajui nani anawauzia madawa hawa mateja? Kama wanajua wamewachukulia hatua gani hao suppliers wa hayo madawa?

Kuwakamata mateja ni sawa na kutangazia vita ugonjwa wa malaria kwa kugawa dawa bure bila kuua chanzo cha watu kupata malaria.

Tiba
 
Hii nchi maajabu ni mengi, hao polisi waende magogoni mbona list ipo kwa prsdt ya hao mapapa, badala ya kudili na sources wao wanadili na outcomes, nawaunga mkono mahabusu waliovua nguo arusha kuonyesha ubovv wa mifumo yetu
 
Waingie mpaka Ubungo Stendi ya Mkoa ndo kiwanda cha kuzalisha mateja
 
Back
Top Bottom