Ndio mjue, Tanzania tulikuwa na uhuru wa kutosha kabisa. Kufungiwa kwa mitandao hii kwa muda ni kuzuia umbea na uongo kuenea.
Kuna nchi sasa, hawapati kabisa hizi huduma.. sisi kwa siku chache umwvimba hapa.
Ukiangalia namna wabeberu wanavyohusishwa katika hili, (kutokana na michango ya watu humu) basi bila shaka naweza sema DIVIDE AND RULE is still existing.
Tukishajifungia ndani, kuondoa mikusanyiko ambayo kwa sisi wengi ndio inatupatia riziki zetu. Nini kifuate? Huduma? Chakula? Biashara?
Una mifano ya nchi za afrika zilizojifungia na kufanikiwa? Maisha halisia ya mtanzania unayafahamu? Au tunaiga na kuiweka kwetu bila ya tathimini?
Unafahamu...
Dr. Nyaoro
Prof. Mushule
Dr. Masaoe
Prof. Mayo
Prof. Park
Prof. Ndumbalo
Dr. Momanyi
Prof. Lema
Prof. Shirima
Hawa walifanya maisha yangu pale Coet Udsm kuwa murua sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuishi mbali na nyumbani, kuna upweke wa ajabu sana. Ndio maana watu watafanya makosa watakimbia nje ya nchi ila siku moja watarudi tu kwao.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.