Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,921
mimi nilikuwa nachubua nyaya kubwa za umeme na wembe.Mungu Ni Mwema Sana Tena SanaTangia mdogo nnaelement za ufundi ufundi Sana
Sasa siku moja mpangaji amehama akawa ameweka Ile bed switch (kaswich kadogo kakuning'inia unapolala)
Alipoondoka akasepa zake...akaziacha
Ile mnyabi kuingia nkasema yeeesi nmepata waya,
Nkapanda juu ya sturi nkakate na meno dah..............................kuzitia mdomoni nizikate dah acha tu
Ndio maana Hadi leo akiri yangu kama haijastable hivi
Mungu mwema mazee