Recent content by The Velocity

  1. The Velocity

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Daaa shikamooo Valenciaaaaaaaaa
  2. The Velocity

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Lyon alivyo mbulula anaweza asifunge goli
  3. The Velocity

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kimya kidogo kitawale mpaka mechi ziishe
  4. The Velocity

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii inamaanisha watu wengi wanafatilia hii biashara
  5. The Velocity

    Nafasi za kazi zaidi ya 600 Uhamiaji

    Daaaaaa! sijui ilikuaje sikuiona hiii opportunity
  6. The Velocity

    Naomba kujuzwa kuhusu hili la heslb

    Wakuu wa JF Mimi ni moja kati ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na open university katika mwaka wa masomo 2014/2015 na niliomba mkopo na kua allocated Tsh.500,000/- tu. Lakini niliamua kuhama na nikahamia St.Joseph tawi la Arusha. Nilifanya taratibu zote za kuhamisha mkopo na ku appeal...
  7. The Velocity

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    kama una line ya voda bofya *149*19# halafu endelelea chagua kawaida au handicap au wazeza ingia hapa www.m-bet.co.tz hii ni kwa m bet
  8. The Velocity

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    England teams should not be trusted any more. Arsenal kaondoka na kodi ya mwakaa
  9. The Velocity

    Kuna kitu kinakosekana kwangu, kwa kuwa nimekua bila malezi ya baba

    pole sana mkuu! This issue is very serious coz am experiencing it. Sometimes hua nalia kabisa coz dingi angu yupo alive bt hajanilea na sikuwahi kumwona mpaka nafikia 20+ years. Hua inaniwia vigumu kumwita baba kwani miaka yote hiyo aliniacha na kufanya yake sasa nimekua mtu ndo anasema oooo...
  10. The Velocity

    Kwanini baadhi ya muvi na filamu za Kitanzania hazina ubora wa kukidhi viwango vya kimataifa?

    kwa bahati mbaya siiangaliagi kabisa movies za bongo ila nadhani ni investment tu! movie inakamilika ndani ya mwezi mmoja unategemea itakua nzuri???? mambele movie onatengengezwa hata within 5+ yrs. kingine wasaani wengi hawafanyi research za kutosha na wengi movies zao hazina maudhui mengi...
  11. The Velocity

    Gazeti la Al-Huda lafanya uchochezi

    mkuu ku-quote ni sawa ila ile kusema wanachama waislamu matatani ndo inaonekana kama uchochezi coz msigwa hakuzungumzia udini hapo
  12. The Velocity

    Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

    Hii habari haipo confirmed nashangaa sana w wanaokurupuka na kuandika uongo mtakatifu l ulimsikia Mbowe akimkaribisha EL CDM????? No research no right to talk
  13. The Velocity

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    man we ni shidaa hapo mmoja tu ndo kazingua kwa mojamoja unapiga hela ya ukwei ila ni vigumu kurisk hela ndeefu kwenye odds kama hizo
Back
Top Bottom