Azam anarusha matangazo katika nchi za Tanzania, Kenya na Rwanda (probably na zingine sijazijua bado/sina uhakika). Huko kote anakorusha matangazo anarusha kwa kibali, na kila maudhui (program) yana kibali chake.
Kwenye maudhui ya AFCON, hana kibali cha kuyarusha nchini Kenya na Rwanda (na...
Bahati mbaya Yanga amekua bora kipindi ambacho Simba yupo bora pia. Na zote kwa level za Africa haitakua ajabu zote kufika nusu na fainal kila uchao. Hii ina maana kuwa kuna uwezekano mkubwa wote wakakusanya points sawa-sawa miaka nenda rudi ama kuzidiana points chache sana kwa mwaka. Ikiwa...
Siku moja Moshi mjini mitaa ya Majengo nilichukua room kwenye lodge moja, 20k. Nilipoingia tu nikafunga mlango wa room kwa funguo, nikavua nguo direct kuoga bafuni. Huko bafuni nililazimika kurudishia mlango maana bafu ni dogo sana. Ile nafunga mlango nikasikia kitu kinaanguka upande wa pili wa...
Tungekua na Bunge lenye kujitambua walau wangehoji au hata kukataa kupitisha hiyo bajeti ila lilitengenezwa "bunge maalumu la kuongeza muhula wa urais" matokeo yake ndio haya. Mimi namlaumu muasisi wa bunge la hovyo!
Mzee Said Mohamed, asalaam aleykum. Nafurahi kusoma kila andiko lako. Uandishi wako hauchoshi msomaji, natamani nisome na kusoma tena kila ukiandika.
Wewe ni mmoja wa watu nitawasifia kabla ya mauti yao. Una kipawa kweli-kweli kwenye simulizi. Hongera.
Nchi ina vijana wapumbavu na wa hovyo sana hii sijawahi kuona. Eti mleta mada naye ni great thinker. Najionea aibu mimi. Naionea huruma nchi yangu. Ndio maana hatuendelei kwakua tunajali mambo madogo-madogo ambayo hayasaidii kukua kwa uchumi wetu.
Mashindano ya quran yanazuiaje sherehe za...
Sheria imeelekeza muda wa kufungiwa. Fei na shangazi yake wanajua kabisa ni muda mchache sana anarudi uwanjani ndio maana hawakatai kuwa Fei kavunja mkataba, wanachotaka adhabu itolewe waitumikie chap maisha yaendelee
Sheria ilishabadilishwa toka mwaka juzi; kisima cha matumizi binafsi nyumbani kwako haulipi tozo ya maji ya mwaka (annual water use fee). Kama kuna watu wa serikali wanakulipisha hii komaa nao (kataa katakata)
Aisee, Nile sio mto mkubwa kabisa Africa wala haupo kumi-bora? Si unge-google walau kwa dakika moja kabla hujaandika?
Nikujuze tu ili uweke records zako sawa; Nile ndio mto mrefu zaidi Afrika (1st), ni wa saba (7th) kwa discharge (wingi wa maji), na ni wa tisa (9th) kwa eneo (catchment/basin...
LG utafurahia sana. Kama hela ipo nunua kubwa zaidi, 55" na kuendelea. Nilinunua LG 55" mahsusi kwa World-Cup, imenifanya sasa nashindwa kuangalia mpira kwenye TV zingine kabisa; kuna ladha nakosa kabisa.
Naomba msaada wa maelezo ya kuipata na kuifunga hii kitu (tracker). Nimehamia nje ya mji/makazi mapya kidogo. Nina hofu sana na usalama hasa ukizingatia nyumbani anashinda house-girl peke yake. Nataka nifunge hii kitu
Tunataka kuona hiyo apology document. Au Mbarawa amepigiwa simu wakamalizana tu kishkaji? Wali-post shutuma publicly, apology tunaitaka iwe hivyo hivyo pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.