Wanazalisha na kuuza kuku, bata, mayai, samaki, nguruwe, seafoods etc. Wanapackage vyakula vyao in different forms. Kwa mfano mayai yapo mpaka kwenye gallon! 3 ltrs, 2 lts, 1ltr etc. Kuku, samaki, etc vivyo hivyo katika form mbalimbali but not in litres.Pia wanajihusisha na kilimo cha mazao...